"Kuwa Halmashauri yenye Uchumi Imara na endelevu, jamii iliyoelimika na yenye maisha Bora na inayoishi kwa amani na utulivu ifikapo 2025"
Dhima
'' Kwa kushirikiana na wadau wa ndani na wa nje Halmashauri ina Dhamira ya kutumia raslimali zilizopo kwa ufanisi katika Kutoa huduma bora kwa wananchi ili kujenga uchumi imara na kupunguza umaskini chini ya misingi ya utawala bora"