• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Ardhi na Mali Asili

Majukumu ya idara ya Ardhi na Mali Asili katika H/W Morogoro

  • Kuratibu na kudhibiti uendelezaji wa Miji na Vijiji.

  • Kuratibu uandaaji wa Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi Vijijini na Mijini.

  • Kujenga uwezo wa kupanga na kutekeleza majukumu ya uendelezaji ardhi kwenye Halmashauri.

  • Kuelimisha jamii kuhusu Mipango ya Matumizi Bora ya Ardhi.

  • Kuratibu na kusimamia utekelezaji wa Mipango ya Ardhi.

  • Kubaini fursa na vikwazo vya uendelezaji.

  • Kufuatilia na kutathimini utekelezaji wa mipango ya Miji na Vijiji inayoandaliwa.

  • Kusimamia uendelezaji wa maeneo ya makazi.

  •  Kushughulikia maombi ya mabadiliko ya matumizi ya kiwanja, muunganiko/mgawanyo wa kiwanja.

  • Kukusanya taarifa za utafiti na mwenendo wa soko la Ardhi.

  • Kuhakiki kumbukumbu za utafiti na kuziingiza kwenye kompyuta

  • Kupokea maombi na kufanya uthamini chini ya usimamizi wa Mthamini aliyesajiliwa

  • kukagua, kupima na kuoanisha thamani ya majengo na ardhi kwa ajili ya kumbukumbu(Data Bank)

  • Kufanya uthamini wa malipo ya fidia, kodi za nyumba, rehani, bima, mizania (Balance sheet) na mauzo ya mali

  • Kuandaa maeneo ya kusimika alama za msingi za upimaji

  • Kutayarisha michoro ya utambuzi (Description diagrams)

  • Kupokea na kuhakiki picha za anga kutoka kwa mkandarasi.

  • Kufanya upimaji, mahesabu na kuandaa taarifa za kazi (Demarcation, coordination, computation and compilation).

  • Kuchora plani za upimaji (Survey plan)

  • Kuchora plani za Hati (Deed plan)

  • Kuingiza taarifa za upimaji kwenye kompyuta (alpha numeric data)

  • Kukagua kazi za upimaji na kuingiza taarifa za kazi zilizothibitishwa kwenye compyuta.

  • Kufanya upimaji picha (aerial triangulation and block adjustment)

  • Kuandaa vikosi kwa ajili ya kuhuisha ramani (map revision)

  • Kutunza kumbukumbu za picha za anga

  • Kusimamia na kuchukua vipimo vya tide gauge (Hydrographic survey)

  • Kufanya kazi za nje ya ofisi (field survey operations) chini ya usimamizi wa mpima aliyesajiliwa.

  • Kutoa huduma kwa wateja (customer services)

  • Kukagua masuala ya upimaji katika Halmashauri za Jiji, Manispaa, Miji na Wilaya (technical auditing)

  • Kupokea na kushughulikia maombi ya upimaji picha anga.

  • Kufanya maandalizi ya upimaji wa majini.

  • Kuchambua na kuchunguza taarifa mbalimbali (data analysis)

  • Kusimamia upimaji wa kumbukumbu (data bank)

  • Kuchambua na kuchunguza matokeo ya kazi za upimaji na kutayarisha taarifa ya kiufundi.

  • Kusimamia mfumo wa utayarishaji ramani kwa kompyuta.

  • Kushauri Halmashauri kuhusu masuala ya upimaji na utayarishaji ramani.

  • Kukagua kazi za upimaji na kuziwasilisha kwa Mkurugenzi wa Upimaji na Ramani

  • Kufanya ubunifu wa ramani mpya

  • Kutoa ushauri kwa wateja kwa ajili ya ramani maalum (thematic map)

  • Kufanya operasheni za upimaji

  • Kufanya uchambuzi wa takwimu (data processing and analysis)

  • Kutayarisha alama za upimaji (survey plan beacons)\

  • Kupanga na kuandaa mahitaji ya kambi za upimaji, vifaa vya upimaji na mahitaji ya jumla.

  • Kuandaa na kuchambua vifaa kwa ajili ya utayarishaji ramani.

  • Kuchambua, kushona, kukata na kuunganisha nyaraka zilizochapwa. Doria kusimamia sheria, taatibu na miongozo ya Idara.

  • Kulinda maisha ya wananchi na mali zao dhidi ya wanyamapori waharibifu na wakali.

  • Kutoa elimu ya uhifadhi, usimamizi na matumizi endelevu ya wanyama pori.

  • Ukusanyaji maduhuli na kazi za utawala.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.