• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

Imetolewa: June 20th, 2025

VIKUNDI 62 VYA WANAWAKE,VIJANA NA WALEMAVU VYAPATIWA MAFUNZO YA MKOPO WA ASILIMIA KUMI.

Vikundi vya wajasiliamali Sitini na mbili(62) vilivyopitishwa na Kamati ya Uhakiki wa  mikopo ya

 Wilaya ya Morogoro, Leo Tarehe 19-06-2025 vimepatiwa mafunzo mbalimbali yatakayowawezesha matumizi sahihi ya mkopo watakayopatiwa.


Akifungua mafunzo hayo Mkuu wa divisheni ya kilimo Mifugo na Uvuvi Kwa niaba ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Mhandisi.Magreth Kavaro amewasisitiza wanavikundi kukumbuka kufanya marejesho Kwa wakati na kuweka kumbukumbu za miamala na taarifa za Kikundi huku akikazia na msemo wa "Mali bila daftari, hupotea bila Habari"

Mafunzo hayo yaliyotolewa na idara ya Maendeleo ya Jamii Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro yalijikita zaidi Katika  Utunzaji wa Kumbukumbu na Ujazaji wa Mikataba.


Sambamba na mafunzo hayo wanavikundi walipatiwa mafunzo kuhusu utatuzi wa migogoro, mafunzo yaliyotolewa na mtaalamu wa kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia Ndugu Steven Maheri.

Pia elimu ya usalama barabarani ilitolewa Kwa wanavikundi Kwa kutambua ya kwamba vipo vikundi vilivyopatiwa mkopo ambavyo vinajishughulisha na Huduma ya kusafirisha abiria na mizigo Kwa kutumia pikipiki maarufi Bodaboda, elimu iliyotolewa na maafisa wa Jeshi la polisi kutoka Kata ya Mvuha.

Vikundi vyoye 63 vinatarajia kunufaika na mkopo wa thamani ya Shilingi milioni Mia Tano Thelathini na nane na Laki nne 538,400,000/= ambapo Vikundi vya Wanawake vitapata Shilingi 363,400,000/=  Vijana Shilingi 163,000,00/= na Walemavu Shilingi 12,000,000/= .

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2018. September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

    June 20, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.