• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Wanafunzi Darasa la Saba kufanya Mtihani wa kumaliza elimu Msingi

Imetolewa: October 6th, 2020

Jumla ya wanafunzi 7126 wa darasa la saba  wanatarajia kufanya mtihani wakumaliza elimu ya msingi kutoka katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro.

Katika mtihani huu unaotarajia  kufanyika kote nchini kuanzia octoba 07 hadi 08 jumla ya wavulana 3558 na wasichana 3568 wanatarajia kufanya mtihani huukutoka katika shule 155 ambapo shule mbili niza binafsi na shule 153 nizaserikali kati ya shule 160 za msingi zilizopo katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro.

Wanafunzi ambao wanafanya mtihani huu ni wale walioingia darasa la kwanza mwaka 2014 ambapo jumla ya wanafunzi 7686 waliandikishwa, wavulana wakiwa 3856 na wasichana 3830.

Tayari maandalizi yote muhimu kwa ajili ya ufanyikaji wa mitihani huo ikiwemoupelekeji wa mitihani katika vituo teule vya kuhifadhia mitihani yameshafanyika.

Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro inapenda kutoa wito kwa wazazi, na walezi wa wanafunzi wanaotarajia kufanya mtihani kuhakikisha wanawapatia watoto wao mahitaji muhimu yatakayowawezesha kufanya mtihani katika hali ya utulivu.

Witounatolewa  kwa wanafunzi wote wanaotarajia kufanya mtihani wa kumalizaelimu ya msingi  kutojiusisha na mbinu zozote zile za udanganyifu wakatiwa kufanya mtihani ambazo zitapelekea kufutiwa matokeo yao.

Sambamba na hilo wasimamizi wa mitihani wanatakiwa kuhakikisha wanasimamia  kwakuzingatia sheria, kanuni na taratibu za mitihani pamoja na utumishi wa umma ila kuhakikisha mitihani inafanyika na kumalizika bila dosari yoyote.

Katika mtihani uliofanyika Mwaka 2019 jumla ya wanafunzi 7447  kutoka katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro walifanya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi ambapo wavulana walikuwa 3656 na wasichana 3791 huku kiwango cha ufaulu kikiwani asilimia 53

Aidha,kwa mwaka 2020 Halmashauri ya wilaya ya Morogoro inatarajia kufaulisha kwazaidi ya asilimia 80.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.