• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WATENDAJI KATA WAPEWA MAFUNZO YA MFUMO WA ANWANI ZA MAKAZI.

Imetolewa: February 10th, 2022

Na. Tajiri Kihemba, MOROGORO DC.

Maafisa Watendaji wa Kata na Maafisa Tarafa wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro leo februari 10, 2022 wamepatiwa mafunzo ya mfumo wa Anwani za makazi ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Serikali katika utambuzi wa watu na makazi kupitia mfumo wa Anwani za makazi na postikodi.

Mafunzo hayo yaliyotolewa kwa Maafisa hao ni hatua ya awali ambapo hatua inayofata ni kutoa mafunzo kwa Maafisa Watendaji wa vijiji tayari kwa utekelezaji wa zoezi hilo la utambuzi wa mitaa, barabara na utoaji wa namba za nyumba.

Lengo la anwani za makazi ni kuanzisha mfumo sahili wa anwani ulio katika

muundo rahisi kuutumia katika kutoa majina ya barabara au mitaa, vitongoji

nambari za nyumba na hatimaye upangaji wa anwani kwa nyumba katika barabara au mtaa husika.

Manufaa ya Mfumo wa Anuani za Makazi;

* Kila mtu anayeishi Tanzania atakuwa na anwani halisi ya makazi.

* Kila biashara inayosajiliwa Tanzania itakuwa na anwani halisi ya makazi.

* Utambulisho wa watu wanaoishi katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania utarahisishwa.

* Usajili wa mali, biashara, vizazi na vifo utaboreshwa.

* Huduma za dharura, kama vile polisi, zimamoto na magari ya wagonjwa,

zinaweza kutambua maeneo yenye dharura na kuyafikia kwa haraka.

* Wageni wanaweza kubaini mahali wanakokwenda kirahisi.

* Mabenki na taasisi nyingine za fedha zitaboresha utendaji kazi wao.

* Mamlaka za Mapato zitabaini walipa kodi kirahisi.

* Makampuni yanayotoa huduma kwa umma yataboresha huduma zao.

* Muda mfupi utatumika katika utoaji wa huduma za kijamii na kiuchumi ikiwa ni pamoja na usafiri na huduma za posta.

Zoezi hili kwa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro linatarajiwa kufanyika kwa haraka na kukamilika kabla ya tarehe 30.3.2022, Wananchi wote mnaombwa kutoa ushirikiano kwa Maafisa hao wakati wa utekelezaji wa zoezi hilo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • TANGAZO LA KAZI APRIL 2021 April 14, 2021
  • KUITWA KWENYE USAILI August 21, 2021
  • TANGAZO LA ZABUNI March 16, 2021
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • MOROGORO DC KUTUMIA MILIONI 30 KUANZISHA UHIFADHI MISITU

    May 20, 2022
  • KAMPENI YA CHANJO YA POLIO YAZINDULIWA.

    May 18, 2022
  • HALMASHAURI YAJIKITA UKAMILISHAJI WA MIRADI YA AFYA NA ELIMU.

    May 01, 2022
  • SERIKALI YALETA MFUMO WA KUKUSANYA TAARIFA ZA VIFO.

    April 05, 2022
  • Angalia zote

Video

Uunganishaji wa mimea
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, Mvuha - Magogoni Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.