Imetolewa: September 9th, 2020
Kijiji cha Mlilingwa kilichopo katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro katika Tarafa ya Ngerengere kata ya Tununguo kimejaliwa kuwa na raslimali misitu. Kipindi cha nyuma, shughuli haramu zilifanyika...
Imetolewa: July 6th, 2020
Na Andrew Chimesela - Morogoro
Licha ya ujenzi wa Kituo cha Afya cha Mkuyuni Mkoani Morogoro kuchukua muda mrefu kakamilika, Katibu Tawala wa Mkoa huo Mhandisi Emmanuel Kalobelo a...
Imetolewa: May 25th, 2020
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe. Selemani Jafo ameitaka Tume ya Utumishi wa Walimu kutatua changamoto na malalamiko ya walimu ikiwemo kubadilishwiwa mishahara b...