Imetolewa: January 14th, 2019
Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro inaendelea na kazi ya uandaaji wa mpango wa bajeti kwa kipindi cha mwaka wa fedha2019 /2020
Kazi hiyo inaendea katika ukumbi wa Halmashauri chini ya Afisa Mipango ...
Imetolewa: January 3rd, 2019
Mhe Omary Mgumba (Mbunge) Mnaibu waziri wa Kilimo akiwa katika Ziara ya siku sita Jimboni kwake Morogoro Kusini Mashariki Tangu Tarehe 01/01/2019 Mpaka Tarehe 06/01/2019.
Lengo la ziara hiyo ni Kuk...
Imetolewa: December 26th, 2018
Na. Andrew Chimesela - Morogoro.
Wakurugenzi wa Halmashauri Mkoa wa Morogoro wametakiwa kukamilisha ujenzi wa miundombinu ya shule yakiwemo madarasa kabla au ifikapo Januari 28 mwakani ili kuwafany...