• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

.

Imetolewa: October 4th, 2021

Na. Tajiri Kihemba, MOROGORO DC.

Wakala wa Barabara za Mijini na Vijijini (TARURA)  imewasilisha taarifa yake ya mrejesho wa bajeti kwa mwaka wa fedha 2021/2022 katika Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya katika Halmashari ya Wilaya ya Morogoro. Akiwasilisha taarifa hiyo Afisa TARURA, Ndugu Gebo Mlangwa amesema,

"Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro iliidhinishiwa bajeti ya matengenezo ya barabara ya thamani ya Tshs. 1,119,800,000.00 ambayo iliainishwa katika matengenezo ya barabara. Hata hivyo baadae TARURA halmashauri ya wilaya ya Morogoro ilipokea maelekezo ya ongezeko la bajeti Kiasi cha Tshs 1,500,000,000.00 kwa kila jimbo kufanya jumla ya ongezeko hilo kuwa Tshs 3,000,000,000.00 (bilioni 3) Pamoja na kupewa ongezeko hilo Ofisi ya TARURA ilipokea maelekezo ya kukutana na wabunge wa kila jimbo ili kupata vipaumbele vya kila jimbo ambavyo vitafanyiwa matengenezo kutumia fedha hizo."

Aidha mpaka sasa TARURA Halmashauri ya wilaya ya Morogoro imeshaingia mikataba Saba (7) kwa awamu ya kwanza yenye thamani ya Tshs 1,003,323,720.00 mingine iko katika hatua za manunuzi.

Akitoa taarifa ya miradi ya barabara inayotekelezwa katika Halmashari ya Wilaya ya Morogoro, Afisa kutoka TARURA, Ndugu Gebo Mlangwa amesema,

"Juhudi za Ufunguzi wa barabara mpya unaendelea kufanywa kwa kushirikisha wananchi wa vijijini na Taasisi mbalimbali ambao ni wadau wa miundo mbinu ya barabara. Halmashauri kupitia TARURA tunaendelea  kutoa ushauri na utaalamu katika barabara mpya zinazofunguliwa na wananchi na kisha kuzipima na kuzisajiri katika mfumo wa kutunza kumbukumbu za barabara (District Roads Management System –DROMAS).

Mpaka sasa zaid ya km 60 za barabara tumeshazipima na zinasubiri hatua za usajiri na ofisi ya TARURA imeshapokea maombi ya kupima barabara nyingine kutoka Kata za TAWA, BWAKIRA CHINI, NGERENGERE, KISAKI, MVUHA,KIDUGALO, KIROKA,MATULI, KIBUNGO JUU, KIBUKO NA MKUYUNI tunatarajia kufanyia kazimaombi haya ya kupima barabara katika kipindi hiki cha kiangazi kati ya mwezi Agosti na Oktoba."

#morodcmpya

#tunatekelezakwakasiya5g

#Kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.