• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Msitu wa Pangawe

FURSA YA KUWEKEZA KATIKA SEKTA YA UTALII 

MSITU WA HIFADHI PANGAWE MASHARIKI NA MAGHARIBI

Mahali ulipoMsitu wa hifadhi Pangawe Mashariki na Magharibi upo km 15 kaskazini masharikimwa mji wa Morogoro kupitia barabara ya Morogoro –Mkuyuni. Miinuko katikahifadhi hii ni ya wastani japo kuna miinuko mikali katika eneo la mwinuko wa Bondwa (Bondwa hills).



Uoto wa asili

Uoto wa asili katika msitu wa hifadhi Pangawe mashariki na magharibi ni miti yaaina ya Miyombo (80%), misitu ya asili(15%) na nyasi fupi (5%). Mimea mingikatika hifadhi hii imetoweka kwa kasi kutokana na matumizi mbalimbali yakibinadamu. Miti mingi katika hifadhi hii imekuwa kivutio kwa matumizi na hivyokupelekea uvunaji haramu. Ipo miti kwa ajili ya mapambo, Mbao, Dawa za asili,nguzo, kamba,kuni, uzio, mkaa, kivuli,rangi za asili, matunda, maua yanyuki, sumu ya kuvulia samaki pamoja na nyuzi.Aina za Mimea: Katika utafiti wa mimea uliofanyika mwaka 2003, hifadhi hiiinasadikiwa kuwa na aina 90 za mimea ya aina mbalimbali na familia 30. Idadikubwa ikiwa miti aina ya miombo mfano Mitopetope, Misufi pori, Milama,Ming’ong’o . Kwa bahati mbaya miti hii mikubwa kwenye hifadh hii imetowekana kubaki miti midogo midogo na vichaka. Tafiti zaidi zinahitajika kujua sababu zakutoweka kwa kasi kwa mimea ya asili katika hifadhi hizi.


Miti jamii ya Miombo hifadhi ya mlima Pangawe


Vyanzo vya maji: Zipo chemchem chache katika hifadhi hii ambazo zinatiririshamaji wakati wa mvua na kukauka wakati wa kiangazi.

 

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.