• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

TANGAZO: MRADI WA VIWANJA VYA KISAKI

25 November 2025

HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro inapenda kuwataarifu wananchi na wawekezaji kuhusu Mradi wa Viwanja vya Kisaki, mradi wenye fursa mbalimbali za uwekezaji na makazi katika mji unaokua kwa kasi wa Kisaki.

Mahali Ulipo Mradi

Mradi upo katika Mji wa Kisaki, ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro.

Faida na Fursa za Mradi

Upo karibu na Bwawa la Nyerere (JNHPP) na Hifadhi za Taifa za Nyerere na Mikumi, hivyo kufaa kwa uwekezaji wa utalii na huduma.

Unafikika kirahisi kupitia:

Barabara ya Bigwa – Kisaki

Reli ya TAZARA

Uwanja mdogo wa ndege wa Matambwe

Aina za Matumizi ya Viwanja Vinavyopatikana

Mradi unatoa viwanja vya matumizi tofauti ikiwemo:

Camp Sites

Big Hotel Sites (Drive-in)

Institutions

Office Blocks

Housing Estates

Commercial Areas

Commercial/Residential

Residential

Kwa mawasiliano zaidi, kupata maelezo ya kina au kutembelea eneo la mradi, tafadhali wasiliana na ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO: MRADI WA VIWANJA VYA KISAKI November 25, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • Ufungaji wa Smart Board katika Shule za Secondary

    October 28, 2025
  • UTEUZI WA KUITWA KATIKA MAFUNZO JIMBO LA MOROGORO KUSINI NA MOROGORO KUSINI MASHARIKI.

    October 18, 2025
  • JARIDA MAFANIKIO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

    October 09, 2025
  • IUCN YATAMBULISHA MRADI WA RESOLVE (NbS) HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

    October 03, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.