• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro afanya ziara kijiji cha Bwkila Chini

Imetolewa: October 11th, 2017

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dk. Kebwe Stephen Kebwe amefanya ziara katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro katika Tarafa ya Bwakila kata ya Bwakila na  kijiji cha Bwakila Chini. Katika Mkutano wa Hadhara uliofanyika kijijini hapo siku ya Jumapili tarehe 8/10/2017 Mkuu wa mkoa aliambatana na kamati ya ulinzi na usalama mkoa, mkuu wa wilaya ya Morogoro pamoja na kamati ya ulinzi na usalama Wilaya. Katika hotuba yake mkuu wa Mkoa alikemea udhalimu unaofanyiwa watu wenye walemavu wa ngozi (albino).

Dr. Kebwe alikemea pia tabia inayojirudiarudia ya mapigano kati wakulima na wafugaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro. Akisisitiza wote kuishi kwa Amani na upendo kwani wakulima na wafugaji wanantegemeana.

Katika Mkutano huo wa hadhara Mhe. Mkuu wa mkoa alisikiliza kero mbalimbali za wananchi.

Na alitoa maagizo kadhaa kwa watendaji wa halmashauri katika kutatua kero za wananchi. Maagizo hayo ni pamoja na:-

Ofisi ya mkurugenzi kupitia idara ya Ardhi kuzungukia vijiji vyote vyenye migogoro ya ardhi na kuitafutia ufumbuzi.

Idara ya Maliasili katika ofii ya mkurugenzi wilaya Jumuiya hifadhi wayamapori wa jukumu

Aliwaagiza pia maafisa watendaji kata na vijijiji kuwajibishwa pindi matukio ya ukatili dhidi ya watu wenye ulemavu wa albino yatakapotendaka katika maeneo yao ya utawala.

Mkuu wa mkoa aliwaagiza pia watendaji wa vijiji kushughulikia suala la mifugo na wafugaji wavamizi katika maeneo yao

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.