• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkurugenzi Halmashauri ya Morogoro awaasa walimu wapya walioripoti katika Halmashauri ya Morogoro

Imetolewa: December 4th, 2020

Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya wilaya ya Morogoro Bi Rehema Saidi Bwasi amewapokea waalimu 20 walioripoti kwa ajili ya kufanya kazi katika Halmashauri ya wilaya ya Morogoro. Akiwakaribisha kufanya kazi katika Halmashauri hiyo katika kikao alichokifanya na watumishi hao katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Morogoro uliopo Mvuha, Mkurugenzi Mtendaji amewaasa waalimu hao kuwa hodari katika utendaji kazi pamoja na kuwa raia wema katika maeneo wanayokwenda kuanza kazi na kuzingatia sheria na taratibu za utendaji wa kazi.

Amewaasa waalimu hao kutoa huduma bora kama kanuni za utumishi wa umma zinavyotaka

Kufanya kazi kwa bidii kwa kujitoa, Kutoa huduma bila ya upendeleo, Kufanya kazi kwa uadilifu 

Waalimu hao ambao  tayari wamekwisha pangiwa vituo vyao vya kazi ni wa shule za msingi na sekondari.

Akiwafafanulia waajiriwa wapya Afisa Utumishi Halmashauri ya wilaya ya Morogoro Ndg Kelvin Luviga amwasisitizia waalimu hao juu ya kuzingatia sheria za utumishi wa umma

 popote wanapokuwa katika kutekeleza majukumu yao na hata nje ya vituo vyao kazi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC August 30, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • UZINDUZI WA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

    September 04, 2025
  • "KAHAMASISHENI WANANCHI KUPIGA KURA" Dkt Batilda Burhani

    August 29, 2025
  • RIADHA SHIMISEMITA 2025 MORO DC YATOLEWA HATUA YA FAINALI

    August 26, 2025
  • "TUMIENI FURSA YA KAMBI ZA AFYA ZINAZOLETWA NA SERIKALI NA WADAU KUPATA MATIBABU" SANGA

    August 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.