• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MAANDALIZI YA MPANGO NA BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA MOROGORO KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020

10 January 2019

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

OFISI YA RAISI TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA

HALMASHAURI YA WILAYA MOROGORO

  

MAANDALIZI YA MPANGO NA  BAJETI YA HALMASHAURI YA WILAYA MOROGORO KWA MWAKA WA FEDHA 2019/2020

 

 

 

Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro inaendelea na maandalizi ya Bajeti kwa mwaka wa fedha 2019/2020. Kazi hii inafanywa na sekta zote ambapo kuna Idara 12 (Utumishi na Utawala, Fedha za Biashara, Mipango Takwimu na Ufuatiliaji, Elimu Msingi, Elimu Sekondari, Afya, Kilimo Umwagiliaji na Ushirika, Maendeleo ya Jamii, Mifugo na Uvuvi, Usafi na Mazingira  na Ardhi na Maliasili) na Vitengo  6 (Nyuki, Manunuzi, Mkaguzi wa Ndani, Tehama, Sheria na Uchaguzi). Aidha Idara ya Maji haikuhusishwa katika maandalizi ya Bajeti hii kulingana na maelekezo kwamba Bajeti yake itaandaliwa na kuwasilishwa Wizara ya Maji.

 

Maandalizi haya yanafanyika kwa kuzingangatia mwongozo wa bajeti wa mwaka 2019/2020, Ilani ya Uchaguzi ya Chama cha Mapinduzi (2015-2020), Mpango wa Taifa wa Miaka Mitano, Mpango wa Taifa wa Maendeleo Endelevu, Miongozo mbalimbali ya Kisekta pamoja na Vipaumbele vya Wananchi.

 

Katika Bajeti hii, Halmashauri imepanga kukusanya na kutumia Jumla ya Tsh. 42,625,824,024.50 ambapo kati ya kiasi hicho, Kiasi cha Tshs. 2,201,584,000.00 kitakusanywa kutoka Vyanzo vya ndani sawa na asilimia 5.2 ya Bajeti iliyopangwa.

 

Mchanganuo ni kama ilivyoainishwa kwenye jedwali lifuatalo:

 
NA.
CHANZO CHA FEDHA
                   KIASI 
1
Mapato ya Ndani
2,201,584,000.00          
2
Matumizi ya kawaida
2,037,091,850.00          
3
Mishahahara
34,240,386,734.00        
4
Miradi ya maendeleo
4,146,761,440.50
 
JUMLA KUU
42,625,824,024.50         
 

Aidha Halmashauri inaendelea kuboresha wigo wa Bajeti iliyotolewa kadiri itakavyoendelea kupata maelekezo toka ngazi za juu hasa kupitia Wizara mama TAMISEMI.

 




Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2018. September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

    June 20, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.