• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Taarifa ya Uchaguzi Mdogo wa Madiwani Katika Kata ya Kiroka Novemba, 2017

Friday 6th, June 2025
@Morogoro Dc

Taarifa Ya Uchaguzi Mdogo Wa Madiwani Katika Kata Ya Kiroka  Novemba, 2017

Utangulizi 

Kata ya Kiroka ipo katika Jimbo la uchaguzi la Morogoro Kusini Mashariki katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro. Kata ya Kiroka ina jumla ya vituo vya kupigia Kura 26 vyenye wapigakura 6,295 walioandikishwa kwenye Daftari la Kudumu la Wapigakura la Mwaka 2015.

Uteuzi wa wagombea 

Utoaji wa fomu za uteuzi wa wagombea zilianza kutolewa tarehe 20 oktoba 2017 hadi tarehe 26 Oktoba, 2017. Jumla ya  vyama  vya siasa  vinne (4) vilichukua fomu za uteuzi. Vyama hivyo ni ACT, CCM, CHADEMA na CUF. Uteuzi wa wagombea ulifanyika tarehe 26 0ktoba 2017 ambapo wagombea  watatu kutoka vyama vya siasa vitatu waliteuliwa, wagombea hao ni,

  • Bi Jamila Taji Mohamed wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)
  • Ndg Ngozoma Rahimu Ally wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)
  • Ndg Mbena Saimoni Jasters wa chama cha wananchi (CUF)

Mgombea wa chama cha ACT hakurudisha fomu.

Pingamizi za Wagombea

Pingamizi moja liliwasilishwa na Mgombea wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo dhidi ya Mgombea wa Chama cha Mapinduzi  kwamba Mgombea huyo wa  CCM  Bi Jamila Taji Mohamed Si Raia wa Tanzania  na pia si mkazi wa kudumu wa Kata ya Kiroka.

Baada ya kupitia pingamizi hilo na kujiridhisha  na nyaraka mbalimbali zikiwemo Kitambulisho cha Mpiga kura, Hati ya Kusafiria na Cheti cha kuzaliwa tulibaini kuwa pingamizi hilo halikuwa na msingi wowote kwa kuwa Ndg Jamila Taji Mohamed ni Raia wa Tanzania, na mkazi wa kudumu wa Kata ya Kiroka.

Hali ya Kampeni za Uchaguzi

Kampeni zilianza tarehe 27 Oktoba , na kumalizika tarehe 25 Novemba ,2017 ambapo kila chama kilifanya kampeni kwa umiliki wa kijiji kwa kila siku ya kampeni kwa kufuata ratiba iliyoratibiwa kwenye kikao cha pamoja na vyama vya siasa kilichofanyika tarehe 25 Oktoba 2017. Hata hivyo kulikuwa na ongezeko kubwa la wafuasi na viongozi wa vyama vya siasa kutoka  nje ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ikiwemo Mvomero, Gairo, Morogoro Manispaa na Tarime na kusababisha kuongeza nguvu za ulinzi wa Polisi wakati wa Kampeni.

]

Ukaguzi wa vituo vya kupigia kura

Ukaguzi wa vituo ulifanyika  kwa kushirikiana na vyama vya siasa ambapo katika ukaguzi huo vituo vitatu vilivyokuwa kwenye nyumba za watu binafsi vilihamishwa kwenye maeneo ya wazi. Vituo hivyo ni Kimbwala, Milengwelengwe B na Temekelo B. Aidha, Vituo 10 vya muda vilijengwa ambavyo ni Mngozi, Ofisi ya Kitongoji Mwaya, Ofisi wa Kitongoji Kimbwala, Milengwelengwe A, Milengwelengwe B, Kisauke ofisi ya Kitongoji, Ofisi ya Kitongoji Temekelo ,Ofisi ya Kitongoji Temekelo B, Ofisi ya Kitongoji Temekelo C ,Tomondo juu  na Njia panda ya Mikese.

Mafunzo kwa watendaji wa vituo vya kupigia kura

Mafunzo kwa Wasimamizi wa vituo ,Wasimamizi wasaidizi wa vituo na Makarani waongozaji yalifanyika kuanzia tarehe 23-25 Novemba, 2017 na kufuatiwa na ugawaji wa vifaa.Aidha viapo kwa watendaji wote wa uchaguzi na Mawakala wa vyama vya Siasa vilifanyika kwa mujibu wa Sheria.

Upigaji kura na matokeo ya Uchaguzi

Vituo vya kupigia kura vilifunguliwa saa 1:00 asubuhi na kufungwa saa 10:00 jioni. Karatasi za kupigia kura na fomu mbalimbali zilikuwepo kwenye vituo vyote vya kupigia kura na kufanya upigaji kura ufanyike kwa wakati. Wapigakura 2,920 kati ya 6,295 (46.39%) walioandikishwa  walijitokeza kupiga kura. Kura 51 (1.75%) ziliharibika, kura halali zilikuwa 2,869 (98.25%) ya kura zilizopigwa. Mgombea wa CHADEMA ndg Ngozoma Rahimu Ally alipata kura 277 (9.65%), mgombea wa CUF ndg Mbena Saimoni Jasters alipata kura 339 (11.82) na mgombea wa CCM Bi, Jamila Taji Mohamed alipata kura 2253 (78.53%). Hivyo, Kwa mujibu wa Sheria za Uchaguzi,  Mgombea wa CCM Bi, Jamila Taji Mohamedi alitangazwa kuwa Diwani wa Kata ya Kiroka. Matokeo ya uchaguzi kwa kila kituo yamewekwa kwenye Jedwali Na. 1. Nakala ya fomu namba 21C  na 24C zimeambatanishwa,

Jedwali Na. 1: Matokeo ya uchaguzi kwa kituo cha kupigia kura

NA.

KIJIJI

JINA LA KITUO

 IDADI YA WALIOANDIKISHWA

IDADI YA WALIOPIGA KURA

IDADI YA KURA HALALI

IDADI YA KURA HALALI KWA CHAMA

ZILIZOHARIBIKA

CCM

CDM

CUF

1

BAMBA
MSOWELO OFISI YA S/KIJIJI

           91

70

68

50

17

1

2

2

BAMBA
OFISI YA KITONGOJI BAMBA A

         182

86

86

84

1

1

0

3

BAMBA
OFISI YA KITONGOJI MNGOZI

           77

33

33

31

1

1

0

4

BAMBA
SHULE YA MSINGI BAMBA

         437

209

208

188

18

2

1

5

DIOVUVA
MSAMVU OFISI YA KITONGOJI

         367

150

143

132

10

1

7

6

DIOVUVA
OFISI YA KITONGOJI MAHEMBE

         228

103

103

81

22

0

0

7

DIOVUVA
OFISI YA KITONGOJI MSAMVU B

         169

90

89

72

15

2

1

8

DIOVUVA
OFISI YA KITONGOJI MWAYA

           95

49

49

45

4

0

0

9

DIOVUVA
SHULE YA MSINGI DIOVUVA

         153

66

66

62

3

1

0

10

KIROKA
OFISI YA KITONGOJI BANZAYAGE

           62

32

32

24

7

1

0

11

KIROKA
OFISI YA KITONGOJI KINGOGWE B

         364

186

184

133

40

11

2

12

KIROKA
OFISI YA KITONGOJI TEMEKELO

         470

236

234

205

27

2

2

13

KIROKA
OFISI YA KITONGOJI TETEMELO B

         321

145

134

118

15

1

11

14

KIROKA
OFISI YA KITONGOJI TETEMELO C

         438

208

203

173

28

2

5

15

KIROKA
OFISI YA MTENDAJI KATA KIROKA

         302

146

146

104

32

10

0

16

KIROKA
OFISI YA S/KIJIJI KIROKA

         375

181

179

143

28

8

2

17

KIROKA
SHULE YA MSINGI KIROKA

           72

17

16

14

1

1

1

18

KIZIWA
KISAUKE OFISI YA S/KIJIJI

         180

69

69

51

0

18

0

19

KIZIWA
MSOVIZI  NJIA PANDA MIKESE

         164

51

43

34

1

8

8

20

KIZIWA
OFISI  YA KITONGOJI KIMBWALA

         332

191

190

124

2

64

1

21

KIZIWA
OFISI YA KITONGOJI MILENGWELENGWE'A'

         209

69

68

60

0

8

1

22

KIZIWA
OFISI YA KITONGOJI MILENGWELENGWE'B'

         172

84

82

54

2

26

2

23

KIZIWA
OFISI YA S/KIJIJI KIZIWA 'A' -1

         251

125

124

65

0

59

1

24

KIZIWA
OFISI YA S/KIJIJI KIZIWA 'A' -2

         250

115

112

57

0

55

3

25

KIZIWA
SHULE YA MSINGI KIZIWA

         311

128

128

79

3

46

0

26

KIZIWA
TOMONDO JUU OFISI YA S/KIJIJI

         223

81

80

70

0

10

1

 

 

JUMLA 

      6,295 

2920

2869

2253

277

339

51

 

 

 ASILIMIA

 

     46.39 

     98.25 

78.53

9.65

11.82

1.75

Hali ya ulinzi na usalama

Vituo vyote vya kupigia kura vilisimamiwa na askari polisi mmoja kwa kila kituo,hata hivyo kulikuwa na askari 10 kwenye kituo cha kujumlishia kura na magari mawili ya Doria yenye jumla ya askari polisi 30 kabla ya siku ya kupiga kura, siku ya kupiga kura na baada ya kutangaza matokeo hali iliyopelekea Kata ya Kiroka kuwa na  amani na utulivu kwa muda wote wa uchaguzi.

Changamoto

Zoezi hili lilikuwa na changamoto kubwa kwa wagombea kuteua mawakala toka maeneo mbalimbali ya Tanzania. Jambo hili liliwatia hofu wenyeji wa eneo husika na wakati mwingine kuzorotesha hali ya usalama. Ni muhimu kama ilivyo kwa wagombea, mawakala wawe ni wakazi wa eneo Kata au Jimbo linalofanya uchaguzi.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.