• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

.

Imetolewa: December 9th, 2018

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewataka wabia wa sukari ambao ni NSSF pamoja na Jeshi la Magereza kuhakikisha serikali inafikia malengo ya uzalishaji sukari kwa kiwango kinachotarajiwa kwa kuzalisha tani 485,000 ifikapo 2020 ikiwa ni mahitaji ya sukari ya majumbani kwani  sasa serikali inatumia fedha nyingi kuagiza sukari nje ya nchi, hivyo njia pekee kufikia malengo hayo ni kuwa na shamba kubwa la miwa, kiwanda na mashine itakayokamua miwa hiyo ili kufanikisha upatikanaji wa sukari.

Majaliwa amesema kuwa kwa sasa kiwango kinachozalisha ni tani 345,000 hivyo ameitaka menejimenti mpya ya NSSF pamoja na bodi mpya ya Mkulazi kwa kushirikiana na Jeshi la Magereza ambao ni wabia kutoka na mpango thabiti wa kusimamia mashamba ya Mkulazi 1 na 2 yaanze kazi mara moja kwa kuimarisha mifumo yote ya maji ili kuyakusanya yasaidie wakati wa kiangazi.

Aidha amewataka wakazi wa Kilosa na maeneo ya jirani kutumia fursa ya kilimo hicho cha miwa kujifunza na kulima kitaalam kwani vitendea kazi vipo, usimamizi na ushauri utapatikana kupitia wataalam watakaopatikana katika shamba hilo la miwa na kwamba miwa watakayolima itapeleka kiwandani na kuchakatwa jambo litakaloinua uchumi wa mtu mmoja mmoja

Sambamba na hayo Waziri Mkuu amewaagiza wakurugenzi wote nchini kuhakikisha maafisa kilimo wote nchini hawakai ofisini badala yake wasambae katika kata na vijiji yalipo mashamba ili kuwasaidia wakulima katika namna bora ya kulima kisasa ili waweze kupata tija kupitia kilimo na ametoa wito kwa watumishi wa umma kulima ili kujiongezea kipato kwani ardhi ya kutosha ipo.

Katika ziara yake Waziri Mkuu ameambata na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Watu wenye ulemavu Mh. Jenista Mhagama pamoja na Naibu Waziri wa Kilimo Mh. Omary Mgumba.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC August 30, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • UZINDUZI WA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

    September 04, 2025
  • "KAHAMASISHENI WANANCHI KUPIGA KURA" Dkt Batilda Burhani

    August 29, 2025
  • RIADHA SHIMISEMITA 2025 MORO DC YATOLEWA HATUA YA FAINALI

    August 26, 2025
  • "TUMIENI FURSA YA KAMBI ZA AFYA ZINAZOLETWA NA SERIKALI NA WADAU KUPATA MATIBABU" SANGA

    August 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.