• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

.

Imetolewa: February 22nd, 2019

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhandisi Joseph Nyamhanga amewataka Watendaji waafya katika Mikoa na Wilaya kusimamia matumizi ya fedha za Umma katika ngazizote na kukamilisha miradi ya zahanati, hospitali za wilaya na vituo vya afyaili kuboresha huduma za afya kwa wananchi.

MhandisiNyamhanga ametoa kauli hiyo jana alipofanya ziara yake katika Jiji la Mwanza naManispaa ya Ilemela na kukagua miradi ya maendeleo ambapo kwa upande wa afyaalikagua ujenzi wa kituo cha afya Igoma cha Jijini Mwanza na kituo cha afyaKarume na hospitali ya wilaya zote za Manispaa ya Ilemela.

“zingatienimatumizi ya fedha kwa kuwa na usimamizi makini katika ngazi zote na tumienimashine za kielektroniki kukusanya mapato ya Serikali, jengani majengo kwagharama nafuu yanayozingatia ubora unaotakiwa na kukamilisha ujenzi kwa wakatiili kuboresha huduma za afya kwa wananchi” alisema Mhandisi Nyamhanga

Aidha,Mhandisi Nyamhanga amesema mpaka hivi sasa katika sekta ya afya, Serikali imejenga jumla ya vituo vya afya 304 nchini kote na hospitali za wilaya 67ambazo zinaendelea kujengwa na kila hospitali mpya ya wilaya imekwisha pelekewa kiasi cha fedha shilingi bilioni moja na nusu.

Nyamhangaameagiza ujenzi wa hospitali mpya ya Manispaa ya Ilemela ijengwe kwa kufuataubora na kukamilika kwa wakati ili kufikia kufikia juni, 2019 ujenzi huo uweumekamilika kwa asilimia mia moja.

Kwa upande wake Mganga Mkuu wa Jiji la Mwanza Dkt. Juma Mfanga amesema kituo chaafya Igoma kimejengwa kwa kutumia nguvu za wananchi ambapo wamefanikiwa kujengamajengo sita ambayo ni jengo la upasuaji, jengo la wodi ya wazazi, jengo lamaabara, jengo la kuhifadhia maiti, jengo la mionzi (x – ray) na jengo lakufulia nguo za wagonjwa.

Dkt.Mfanga amesema kukamilika kwa majengo ya kituo hicho licha ya kukabiliwa na changamotoya watumishi, tayari kimepunguza msongamano wa wagonjwa katika hospitali yawilaya ya Nyamagana, hospitali ya rufaa ya Sekou toure na hospitali ya rufaa yakanda Bugando mkoani Mwanza.

                                           

                                              anaandika Fred Kibano

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.