• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

.

Imetolewa: November 28th, 2019

Halmashauri ya wilaya ya Morogoro Imeazimisha siku 16 za kupinga ukatili wa Kijinsia katika viwanja vya Soweto vilivyopo katika kata ya Kiroka hapo jana tarehe 27/11/2019 kwa kufanya tamasha lililohudhuriwa na wananchi mbalimbali pamoja na wadau kama vile morogoro paralegal, TCRS, na USAID BORESHA AFYA ambapo mgeni rasmi alikuwa ni Mwenyekiti wa Halmashauri Bi. Kibena Kingo.

Kila Novemba 25 hadi 10 Disemba ya kila mwaka ni siku 16 za kampeni ya kupinga ukatili wa kijinsia ambayo huadhimishwa kwa maandamano na kampeni mbalimbali kwa taasisi zinazojihusisha na masuala ya kuendeleza usawa wa kijinsia katika jamii.

Katika Mwaka huu kauli mbiu inasema "Hear Me Too" ikimaanisha nisikilize na mimi pia. Katika siku hizi 16 midahalo mbalimbali hufanyika ngazi ya Taifa, mkoa, wilaya pamoja na vikundi mbalimbali vya wanawake katika kuleta hamasa na kufikisha ujumbe kwa jamii kutokomeza vitendo vya ukatili kijinsia.

Katika maadhimisho hayo Shule za msingi na Sekondari, pamoja na vikundi vya Sanaa katika kata ya Kiroka  zilizonyesha maigizo mbalimbali yenye ujumbe wa kupinga ukatili wa kijinsia.

Ukatili wanaokumbana nao wanawake ni pamoja na kubakwa, kuombwa rushwa ya ngono, kunyanyaswa katika familia zao, kukeketwa na kunyimwa haki zao za msingi kama kwenda shule, kumiliki ardhi au kutoa maoni katika ngazi ya kifamilia na kijamii.

Hata hivyo, bado Serikali kwa shirikiana na wadau mbalimbali wa maendeleo wanaendelea na juhudi za kutoa elimu na kuchukua hatua za kisheria dhidi ya watu wanaotekeleza ukatili wa kijinsia ili kuhakikisha jamii inazingatia na kuheshimu haki za msingi kila mtu katika jamii.

Katika maadhimisho hayo mgeni rasmi Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Morogoro alitoa Zawadi kwa wanafunzi wa sekondari na shule za msingi waliofanya vizuri. Pamoja na hayo mgeni rasmi aliwagawa wanafunzi wa kike wa sekondari taulo za kike.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2018. September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

    June 20, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.