• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

.

Imetolewa: April 14th, 2021

Na Tajiri Kihemba.


Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Loata Ole Sanare amefanya ziara katika Kijiji cha Mkono wa mara kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ambapo kuna mpaka unaotenganisha Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro na Halmashauri ya Wilaya ya Mvomero ambao umekuwa na mgogoro wa muda mrefu.


Katika Ziara hiyo Mhe. Ole Sanare ameongozana na viongozi mbalimbali kutoka Halmashauri zote mbili na kupata fursa pia ya kufanya mkutano na Wananchi wa Vijiji viwili vilivyopakana vya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro na Mvomero.


"Ninaishukuru sana Timu ya ardhi ya Wilaya zote mbili za Morogoro na Mvomero wakiongozwa na Kamishina wa ardhi wa Kanda kwa kumaliza mgogoro huu wa mipaka. Mgogoro umeisha lakini tufuate utaratibu na Sheria zilizowekwa za kugawa ardhi." Amesema Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Morogoro.


Aidha Mhe. Ole Sanare ameongezea kwa kusema "Natambua kuna watu wanajimilikisha ardhi maelfu ya hekari, wapeni salamu. Maeneo yatengwe kwa ajili ya shule, zahanati, maeneo ya kuzika lakini pia maeneo ya kuabudia na Serikali za Vijiji zihakikishe zinatenga maeneo hayo kwa kufuata utaratibu na Sheria."


Mhe. Ole Sanare pia amesema anatambua uwepo wa wazee wanaojifanya ndio wazee wa Vijiji na akimtaja Mzee Koka kuwa ni mmoja wa wazee waliojimilikisha eneo kubwa la ardhi na kunyang'anya wengine. Hivyo ameagiza wale wote wanaomiliki maeneo makubwa wajisalimishe katika Serikali za Vijiji na wathibitishe umiliki wao kwa kuonyesha nyalaka halali.


Mwisho Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Mhe. Ole Sanare amewataka Wananchi kujitolea nguvu zao kuleta maendeleo katika Vijiji vyao na ameahidi kurudi tena kufanya harambee ya kuongeza madarasa shule iliyopo kijijini hapo.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2018. September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

    June 20, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.