• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

.

Imetolewa: April 27th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Bakari Msulwa alikuwa mgeni katika zoezi la ugawaji kadi za bima ya afya kwa kaya masikini na watoto wanaoishi katika mazingira magumu zilizotolewa na Kikundi cha wanawake cha UMAKI kinachonufaika na mikopo ya asilimia 10 inayotolewa na Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro.

Kikundi cha UMAKI ni kikundi cha wanawake wanaojishughulisha na ujasiliamali wa mama lishe ambao wamekuwa wakipatiwa mikopo na Halmashauri kwa ajili ya kujiinua kiuchumi na sasa wameweza kuwasaidia na wengine ambapo wanawasomesha watoto wanne wanaotoka katika mazingira magumu, watatu wakiwa shule ya Msingi na mmoja shule ya sekondari.

Lakini pia kikundi cha UMAKI kimefanya kitu kikubwa sana kwa jamii inayowazunguuka kwani wameweza kuwakatia bima ya afya ya Jamii (CHF) kaya zipatazo 13 zenye wanufaika 78 na sasa wanufaika hawa wanakwenda kupata matibabu katika kituo chochote kinachotoa huduma ya afya kwa kupitia kadi ya CHF iliyoboreshwa.

UMAKI kinakuwa kikundi cha pili kati ya vikundi vingi vinachofanya vizuri zaidi kupitia mikopo ya asilimia Kumi inayotolewa na Halmashauri yetu ya Wilaya ya Morogoro kwa wanawake, vijana na watu wenye ulemavu, lakini pia Kikundi cha BossKuku kilichopo katika Kijiji cha Mlilingwa katika Tarafa ya Ngerengere. 

Hata hivyo kuna vikundi vingi vinafanya vizuri lakini BossKuku na Umaki ni mfano wa kuigwa zaidi, na hii inatoka na jitihada za makusudi zinazofanywa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Bi. Rehema S. Bwasi na wasaidizi wake kutoka idara ya maendeleo ya jamii ikiongozwa na Bi. Florence Mwambene kwa kuwajengea uwezo wanawake, vijana na watu wenye ulemavu kwa namna gani wanaweza kujikwamua kiuchumi kwa kupitia mikopo hii.


#kaziindelee


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2018. September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

    June 20, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.