• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

.

Imetolewa: September 29th, 2021

Leo tarehe 29/09/2021 timu ya Afya ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro (CHMT) imefanya kikao chake cha kuweka mikakati juu ya utoaji Elimu na uhamasishaji Wananchi kupata Chanjo ya UVIKO-19 (Corona) kupitia kampeni maalumu itakayoanza tarehe 01/10/2021 kwa lengo la kuendelea kuwakinga Wananchi dhidi ya Ugonjwa huu hatari wa Corona.

Kikao hicho kilichoongozwa na Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Dkt. Robert Manyerere kimekuja mara baada ya kumaliza kikao cha jana cha Kamati ya Afya ya Msingi ya Wilaya kwa ajili ya kuweka mikakati ya utekelezaji wa maazimio ya kikao hicho kilichoongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Albert Msando tarehe 29/09/2021.

Akifungua kikao hicho Dkt. Manyerere amesisitiza wajumbe wa kikao hicho kwenda kutoa elimu ya kutosha juu ya umuhimu wa kuchanjwa na athari zitokanazo na kutochanjwa Chanjo ya UVIKO-19 ili Wananchi waelewe vizuri na kuachana na upotoshwaji unaotolewa na baadhi ya watu na sasa wapewe Elimu sahihi na hatimae wananchi waweze kuchanja kwa hiari yao.

Kikao hicho pia kilihusisha wadau wengine kutoka kutoka asasi za kidini, wazee maarufu na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa kwa lengo la kupata Elimu ya kutosha ili wakawe mabalozi wazuri kwenye kutoa elimu na kuhamasisha Wananchi kuchanjwa ili kujikinga na ugonjwa wa Corona.

Wilaya ya Morogoro ipo katika kampeni yake maalumu ya utoaji Elimu na uhamasishaji wa Chanjo ya UVIKO-19 mtaa kwa mtaa kuanzia tarehe 01/10/2021 hadi tarehe 14/10/2021 kuhakikisha kila Mwananchi anaelewa vizuri kuhusu chanjo hii ya UVIKO-19 na hatimae wachanjwe kwa hiari yao.

#ujanjakuchanja

#chanjonihiari

#morodcmpya

#tunatekelezakwakasiya5g #Kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.