• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

.

Imetolewa: October 25th, 2021

Na. Tajiri Kihemba, MOROGORO DC.

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Bi Rehema S. Bwasi leo Oktoba 25, 2021 amekutana na kufanya kikao na Wakuu wa Shule wa Shule zote zilizopata Mgao wa fedha za Mpango wa Maendeleo kwa ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO-19 katika Ukumbi wa Mikutano wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, MVUHA.

Akifungua kikao kazi hicho, Bi Rehema S. Bwasi amewaambia Wakuu hao wa Shule Wakasimamie vyema ujenzi wa madarasa hayo na asitokee mtu wa kudokoa fedha hizo kwani ni za moto kama ambavyo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe Samia Suluhu Hassan alivyoelekeza.

Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Bi Rehema S. Bwasi ameeleza Mgao huo na jinsi Halmashauri ilivyonufaika na mgao huo,

"Katika mgao wa fedha kupitia Mpango wa Maendeleo kwa ustawi wa Taifa na Mapambano dhidi ya UVIKO-19, Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro imenufaika kwa kupata madarasa 103 kwa ajili ya shule za Sekondari yenye thamani ya fedha za Kitanzania Bilioni 2 na Milioni 60, pia Halmashauri imepata mgao wa madarasa 11 kwa shule shikizi 5 za Msingi kwa thamani ya fedha za Kitanzania Milioni 220, wakati huohuo Halmashauri imenufaika kwa mgao wa fedha kwa ajili ya kuanzisha huduma za dharula katika Hospitali ya Wilaya yenye thamani ya fedha za Kitanzania Milioni 300 na nyumba ya watumishi wa Afya yenye thamani ya fedha za Kitanzania Milioni 90 ambapo nyumba hiyo pamoja na jengo la dharula itajengwa katika eneo la Hospitali ya Wilaya", amesema Bi Rehema S. Bwasi.

Kikao kazi hicho kimehitishwa mahususi zaidi kwa ajili ya kuweka mikakati ya pamoja ya kukamilisha ujenzi wa miradi hiyo kwa wakati ili kufikia Januari, 2022 wanafunzi wa kidato cha kwanza waweze kuyatumia.

#AsanteRaisSamiaSuluhuHassan

#morodcmpya

#tunatekelezakwakasiya5g

#Kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.