• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MGANGA MKUU AONGOZA MAZOEZI YA VIUNGO.

Imetolewa: November 10th, 2021

Mganga Mkuu wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro, Dkt Robert Manyerere leo Novemba 10, 2021 ameongoza mazoezi ya viungo kwa watumishi na Wananchi wananchi wachache waliojitokeza katika kuadhimisha wiki ya Magonjwa yasiyoambukiza.

Maadhimisho ya Wiki ya Magonjwa yasiyoambukiza katika Halmashari ya Wilaya ya Morogoro imetoa fursa kwa watumishi wa Halmashauri pamoja na Wananchi kufanya mazoezi pamoja ikiwa ni moja ya njia ya kuepukana na Magonjwa yasiyoambukiza kama vile Kisukari (Diabetic Mellitus), Shinikizo la Damu (High blood Pressure), Ugonjwa wa Moyo (Heart Diseases), Uzito mkubwa kupita kiasi (Obesity) na kuwa na mafuta mengi mwilini (Dyslipidemia)

Akizungumza baada ya mazoezi hayo, Dkt Robert Manyerere amewashauli watumishi na Wananchi wa Wilaya ya Morogoro kuendelea kufanya mazoezi kwa ajili ya kuimarisha afya zao.

Watumishi hao pamoja na Wananchi pia wamepata nafasi ya kupima uzito na presha kwenye maadhimisho hayo katika viwanja vya Shule ya Msingi Mvuha.

#MaadhimishoYaWikiYaMagonjwaYasiyoambukiza

#BadiliMtindoWaMaisha

#morodcmpya

#tunatekelezakwakasiya5g

#Kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA KAZI YA MUDA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 HALMASHAURI YA MOROGORO July 27, 2022
  • TANGAZO LA KAZI ZA UFUNDI WA MAJENGO (LOCAL FUNDI) January 13, 2023
  • TANGAZO LA KAZI ZA UFUNDI WA MAJENGO (LOCAL FUNDI) January 13, 2023
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 16, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • .

    May 24, 2023
  • .

    May 24, 2023
  • .

    February 04, 2023
  • MKUU WA MKOA WA MOROGORO BI. FATMA MWASSA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA

    January 28, 2023
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, Mvuha - Magogoni Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.