• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

.

Imetolewa: May 24th, 2023

Mkurugenzi wa miundombinu kutoka wizara ya mifugo Eng.GODFREY MLOWE  amefanya ziara ya ukaguzi wa miradi miwili mikubwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro katika kijiji chaa Kongwa na Magogoni vilivyopo katika tarafa ya Mvuha.


Lengo kubwa la ziara hiyo ni kukagua eneo ambalo litachimbwa bwana la maji (LAMBO) kwa ajili ya wafugaji katika Kijiji cha Kongwa na kukagua jengo ambalo litatumika kama kituo cha kukusanyia maziwa kutoka kwa wafugaji wa Halmashauri hiyo.


Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro imetengewa  kiasi cha Tsh 442,537,760.00 na serikali  kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa ajili ya ujenzi wa Lambo katika kijiji cha Kongwa inayotarajiwa kuanza mapema kuanzia sasa.

Pia Tsh 101,736,436.00 kwa ajili ya Kituo Cha Kukusanyia Maziwa ambapo ujenzi unaendelea na sasa ni hatua ya boma.


Akiambatana na Mkandarasi  ndugu Mirogena, pamoja na baadhi ya wakuu wa idara wakiwemo idara ya Mifugo, injinia wa wilaya pia baadhi ya wananchi wa Kongwa, Eng. Mlawa walipata fursa ya kukagua eneo linalotarajiwa kuchimbwa Lambo hilo na kuwataka wananchi na uongozi kuonesha ushirikiano katika kipindi cha ujenzi mpaka ukamilifu wake.


Bwana Muselem, kwa niaba ya wananchi ameishukuru serikali kwa kuweza kusikiliza kilio chao ambapo ameahidi yeye na jamii inayozunguka eneo la mradi watautunza na kutunza mazingira kwa ujumla.


" Sisi kama wafugaji tunapenda kuishukuru serikali ya Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan, Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa kuitikia ahadi na kuitekeleza ahadi iliyokuwa imeahidiwa wakati Waziri wa Mifugo alipotutembelea mwaka jana" alisema Ndg Muselem.


Hata hivyo Eng.GODFREY MLOWE amesema "mradi huo wa bwawa la maji utawanufaisha wafugaji katika nyakati tofauti kwani bwawa hilo litavuna maji mengi ambayo yatatosheleza kwa wananchi wote wa kijiji  hicho"


Nae Eng. Juma Zahoro kutoka ofisi za Makao makuu ya halmashauri hiyo akiwa na Bi. Glory Malata ambaye ni afisa mifugo, kwa niaba ya Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro wameahidi kutoa ushirikiano wa dhati katika kuhikisha lengo la serikali kwa wananchi wa Morogoro linafikiwa hususani hili la miradi hiyo miwili iliyopo katika Tarafa ya Mvuha.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.