• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

ECLAT YABORESHA MAZINGIRA YA KUSOMEA KICHANGANI.

Imetolewa: February 15th, 2025


Taasisi isiyo ya kiserikali nchini Tanzania ECLAT kwa kushirikiana na  Upendo  Association  ya nchini Ujerumani leo tarehe 15.02.2025 wamekabidhi madarasa matatu mapya, matatu yaliyokarabatiwa, matundu 32 ya choo ,16  upande wa wavulana na 16 upande wa wasichana, jiko la muda la kisasa, simtanki 2 zenye ujazo wa lita 5000 kwa kila moja yakiwa yameunganishwa  kuweza kusambaza maji vyooni na jikoni  mradi  uliogharimu  £100,000  mpaka kukamilika.


Mradi huu uliotambulika kwa jina la Kichangani School  Project  pia umewezesha kununuliwa kwa jumla ya  madawati 137, viti vya ofisi 8 pamoja na meza za ofisi 8 vilivyokabidhiwa   kwa Halmashauri ya wilaya ya Morogoro halfa iliyofanyika shule ya msingi Kichangani  kata ya Bwakira juu.

Akipokea makabidhiano hayo Afisa Taaluma  elimu ya msingi Bi Idda Kitwana amewashukuru sana wafadhili hawa  (ECLAT  na Upendo Association) chini ya mwavuli wa FLY AND HELP  iliyofadhiliwa na Christine Nicolai na kuahidi kukuza kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wa Shule ya msingi Kichangani kwani mazingira yameboreshwa na kuwa rafiki kwa kujifunzia.


"Niwaombe wanananchi na wakazi wote wa Kichangani Kisaki kuitumia fursa hii kuwahimiza watoto kusoma kwa bidii na  kuyatunza mazingira  ili yatufae kwa kizazi hiki na kizazi kijacho kwa maendeleo ya   elimu". Amesisitiza Bi. Kitwana.



Aidha amewapongeza na kuwataka wahisani kuendelea kuboresha mazingira ya shule mbalimbali zilizopo ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro  ikiwa ni pamoja na kuwajengea   nyumba za kuishi waalimu ili kuendelea kuwasaidia  kusogeza huduma bora na za msingi  kwa wananchi na kukuza kiwango cha ufaulu haswa kwa wasichana.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2018. September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

    June 20, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.