• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro yaadhimisha Siku ya Kupinga Ukatili wa kijinsia Duniani,

Imetolewa: December 10th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro leo Disemba 10 imefanya Maadhimisho  ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia ambapo kihalmashauri yamefanyika katika viwanja vya shule ya msingi Bwakira Chini. Ikiongozwa na kauli mbiu: WEKEZA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA.


Akiongea kwa niaba ya mgeni rasmi Bi. Florence Mwambene amewataka wananchi wote kuzingatia mafunzo na mijadala mbalimbali iliyofanyika katika maeneo tofauti ya Halmashauri hiyo Toka siku ya uzinduzi 25, Novemba, 2023) mpk kufikia Leo siku ya 16 ambayo ndio maadhimisho.


Aidha vikundi mbalimbali vimeshiriki Kwa kutoa burudani,jumbe.na zawadi ikiwemo taulo za kike, juisi na biskuti Kwa ajili ya wanafunzi wa shule ya sekondari Bwakira Chini na baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Bwakira Chini.

Wadau mbalimbali wameshiriki wakiwemo  TGNP,  Kikundi Cha Wamasai, CAMA (CAMFED TZ), Wanawake na Maendeleo group,Baraka na Faraja.

Aidha Bi. Mwambene aliwataka wananchi kuendelea kupambana na rushwa, kuwa na maadiki kwani ni Moja ya mambo yanayoepusha matendo ya ukatili.


"Hivi Kuna mtu ataenda kumvizia mtu sijui pale kwenye mbuyu kama ana maadiki!? Kwa hiyo tuendelee kuhimizana maadili kuanzia kwenye familia zetu, shuleni, kwenye dini zetu na Kila pahala. Lakini pia kukemea vitendo vya rushwa" alisema Bi. Mwambene


Maadhimisho ya Siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia hufanyika Kila mwaka kuanzia tarehe 25, Novemba Hadi tarehe 26, Disemba, ambapo Kwa upande wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro imehitimishia Leo 10, Disemba 2023 katika viwanja vya shule ya msingi Bwakira Chini.

KAULI MBIU:

       "WEKEZA KUZUIA UKATILI WA KIJINSIA"

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.