• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

HALMASHAURI YAJIKITA UKAMILISHAJI WA MIRADI YA AFYA NA ELIMU.

Imetolewa: May 1st, 2022

Na. Tajiri Kihemba, MOROGORO DC.

Pamoja na changamoto ya kijiographia kwa Halmashauri yetu ya Wilaya ya Morogoro, bado Mkurugenzi inabidi tuhangaike kuhakikisha kwamba vituo hivi vya Afya vinakamilika kwa wakati ndani ya mwaka huu wa fedha 2021/2022.

Hayo yamesemwa Aprili 28, 2022 na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Mhe. Lukas J. Lemomo alipokuwa akifunga Mkutano wa Baraza la Madiwani kupitia taarifa za utekelezaji wa shughuli za maendeleo katika Halmashari kwa kipindi cha robo ya tatu ya mwaka wa fedha 2021/2022 kuanzia Januari hadi Aprili 2022.

Mhe. Lemomo amesisitiza ukamilishaji wa Vituo hivyo vya Afya viwili vipya vinavyojengwa Mkulazi na Kasanga ambavyo ujenzi wake unatekelezwa kwa fedha kutoka Serikali kuu jumla ya shilingi milioni 500 kwa vituo vyote viwili.

Pia Mhe. Lemomo amesisitiza ukamilishaji wa ujenzi wa shule mbili mpya za Sekondari zinazojengwa katika Kata za Kibuko na Bungu ambazo serikali imetoa fedha kiasi cha Shilingi milioni 470 kwa kila shule na kufanya jumla ya shilingi milioni 940 kwa ujenzi wa shule zote mbili.

Katika hatua nyingine Mwenyekiti wa Halmashauri, Mhe. Lukas J. Lemomo amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Bi. Rehema S. Bwasi kwa kuhakikisha watumishi wawili kutoka Idara ya Elimu makao makuu ya Halmashauri wanakuwepo kila siku katika eneo la ujenzi wa shule hizo mbili ili kusimamia maendeleo ya ujenzi wa miradi hiyo.

Naye Afisa Tawala kutoka Ofisi ya Mkuu wa Wilaya, ndugu Hilary Sagala kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe Albert Msando amewataka Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro na Wakuu wa idara kuhakikisha wanafanya uhamasishaji kwa Wananchi kuhusu zoezi la Sensa ya watu na makazi inayotarajiwa kufanyika Tarehe 23/8/2022 Nchi nzima.

#SENSA_AGOSTI23

#morodcmpya #tunatekelezakwakasiya5g #kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.