• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

IMARISHENI USIMAMIZI WA MIRADI YA MAENDELEO

Imetolewa: September 17th, 2021

Timu ya ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Morogoro imeiagiza timu ya wataalamu (menejimenti) ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kuimarisha usimamizi wa miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashari ya Wilaya ya Morogoro.

Timu hiyo imeagiza hayo leo Septemba 17, 2021 ilipokuwa inaendelea na ziara yake ya Siku mbili ya kukagua miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa kwa fedha za Serikali na kuitaka Halmashauri kuongeza nguvu katika ufuatiliaji katika maeneo ambayo Serikali imepeleka fedha kwa ajili ya kukamilisha miradi hiyo ya Afya na Elimu.

Akizungumza mara baada ya kukamilisha Ziara hiyo, Katibu Tawala Msaidizi - Uchumi na Uzalishaji, Dkt. Rozalia G.R amesema Halmashari inatakiwa kujipanga na kuongeza nguvu katika ufuatiliaji wa miradi ya maendeleo ili kuleta ufanisi na umaliziwaji wa miradi hiyo kwa wakati na thamani ya fedha iweze kuonekana.

Katika hatua nyingine Timu hiyo ya ufuatiliaji imepongeza ujenzi wa mradi wa Maabara ya shule ya Sekondari Matombo.

"Tumetembelea ujenzi wa maabara mbili za physics na chemistry ambapo walipewa Million 30 kwa ajili ya kukamilisha maabara hizo mbili, kwa kweli tumeangalia, tumetembelea kila mahali na tumeridhishwa na jinsi walivyofanya ukarabati na umaliziaji wa hizo maabara mbili kwa ufanisi mzuri na zinapendeza na zipo vizuri kutumika." Amesema Katibu Tawala Msaidizi - Uchumi na Uzalishaji, Dkt. Rozalia G.R

"Kuna mapungufu madogo tumeyaona kwa mfano kwenye ile mifereji sehemu ambazo hawajaziba waweze kuziba, lakini kwa mambo mengine Maabara ipo vizuri kwa hapa shule ya Sekondari Matombo." Ameongezea Dkt. Rozalia G.R

Timu hiyo ya Ufuatiliaji imefanikiwa kukagua miradi 12 ikiwemo majengo ya Shule ya Msingi Mdokonyole, Sekondari ya Kisaki, Zahanati ya Lubasazi, Sekondari ya Mvuha, Hospitali ya Wilaya, Jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro.

#morodcmpya

#tunatekelezakwakasiya5g

#Kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2018. September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

    June 20, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.