• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Kamati ya Siasa yakagua miradi ya maendeleo Morogoro DC

Imetolewa: November 16th, 2023

Kamati ya Siasa ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro imefurahishwa na Kikundi cha Wanawake UMAKI kilichopo Dutumi.


Akiongea na Kikundi hiko (UMAKI) leo Novemba 16, 2023 Ndg. Gerorld Mlenga amewapongeza UMAKI Kwa kuonesha bidii na matumizi Bora ya fedha walizokopeshwa na Halmashauri.


"Nimefarijika sana Kikundi ambacho kinajitambua, kinakopa kinarejesha... na nitasikitikasana kama itafika mahali nitaona hamuwafanyii muendelezo kwa sababu wanaonekana wanajali maendeleo na wanafanya mambo yanayooneka kwa macho. UMAKI oyeee..!" alisema Ndg Mlenga.


Nae Mhe. Rebeca Nsemwa, Mkuu wa Wilaya ya Morogoro aliwasihi wafanye kilimo kilicho Bora zaidi na Cha kisasa na kwamba atawaunganisha na wataalam wa SUA Kwa msaada na ushauri Bora zaidi wa Kilimo.


"Yaani mie nataman Kikundi hiki niwe natembea nacho kuwafundisha Wanawake wengine au vikundi vingine" alisisitiza Mhe. Rebeca


Kamati hiyo ya siasa imefanya ziara yake leo kutembelea na kukagua baadhi ya miradi ya maendeleo iliyopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ikiwepo madarasa na mabweni Matombo sekondari ambapo ilipata wasaa wakuongea na wanafunzi(wasichana) wa kidato cha Tano, pia ilitembelea miradi ya Maji (wa Morong'anya-Madamu, na Maji mserereko-Mvuha), mradi wa birika la kunywenyea mifugo-Dakawa, mradi wa barabara Gomero-Nyarutanga na ujenzi wa daraja Vihengere-Lundi, na Kikundi vya ujasiliamali UMAKI-Ditumi na JEMBE MALI-Bwakira

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.