• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

Imetolewa: April 12th, 2025


Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru kitaifa, Ismail Ally Ussi ameonyesha kuridhishwa na kupongeza usimamizi na Utekelezaji wa Miradi iliyotepitiwa na Mwenge wa Uhuru Katika Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro.

"Mwenge wa Uhuru umeridhishwa na Utekelezaji wa Miradi wilayani hapa,muendelee kuitunza Miradi hii maana imetekelezwa Kwa gharama ya Fedha nyingi, Kwa kufanya hivyo tutakua tunalitendea haki Taifa na kuunga mikono juhudi zinazofanywa na Kiongozi wetu Mheshimiwa DKt.Samia Suluhu Hassan zakuwaletea wananchi maendeleo" Alisema Ussi

Katika hatua nyingine Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Ndugu Jeshi Godfrey Lupembe akikabidhi Mwenge Kwa ndugu Emmanuel Mkongo Mkurugenzi Mtendaji wa Manispaa ya Morogoro kwa niaba ya Mkuu wa Wilaya Mheshimiwa Musa Kilakala amesema, kama Halmashauri wameyapokea maagizo yote yaliyotolewa na Kiongozi wa mbio za Mwenge na kuahidi kuyafanyia kazi haraka iwezekanavyo.

"Kiongozi wa mbio za Mwenge tunakushukuru sana Kwa kutembelea,Kukagua na kuzindua Miradi takribani Tisa kama Halmashauri tunakuahidi kuyafanyia kazi maelekezo na maagizo yako haraka iwezekanavyo" Alisema Lupembe.

Miradi iliyopitiwa na Mbio za Mwenge wa Uhuru ni Mradi wa maji Kijiji Cha Diguzi, Mradi wa Soko Ngerengere,Kikundi Cha ufugaji Ngerengere, Zahanati ya Gwata,Mnada wa Mifugo Gwata, Kiwanda Cha nguzo za umeme za zege Fulwe, Ujenzi wa vyumba vya madrasa na vyoo Sekondari ya Fulwe,Ujenzi wa Kalavati kungwe tomondo na Mradi wa Nishati safi ya kupikia Mikese ambayo yote Kwa Pamoja inathamani ya Shilingi bilioni 4.4 za kitanzania.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.