• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MAMIA WAMZIKA ALIYEKUA KADHI WA MKOA WA MOROGORO SHEIKH MUSA BOLINGO

Imetolewa: December 28th, 2024

Mufti wa Tanzania Dkt Sheikh Abubakar Zuberi bin Ally aongoza mamia kumzika aliyekua Kadhi Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Sheikh Musa Bolingo aliyefariki Dunia 27 Disemba 2024 majira ya saa Moja jioni.

Akitoa salamu za msiba Kwa waombolezaji Mufti amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr Samia Suluhu Hassan Kwa kugharamia msiba huo, huku akisema wamempoteza kiongozi mahiri.

"Tunachoweza kusema tumempoteza mwanazuoni mchapakazi  na kiongozi mahiri na mkombozi wa Mkoa wetu wa Morogoro" Alisema Mufti Abubakar

Naye Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mheshimiwa Adam Kighoma Malima akitoa salamu za pole aliwataka waumini wa dini ya Kiislamu kuhakikisha wanaweka jitihada katika elimu zote ikiwema elimu Dunia na Elimu ya dini kwani zitawasaidi hapa duniani na baada ya kutoweka hapa duniani.

Naye Mkuu wa wilaya ya Morogoro Mheshimiwa Musa Kilakala akitoa salamu Kwa waombolezaji amesema Katika vitu ambavyo mwanadamu anapaswa kufahamu kuwa ni vya Uhakika ni Kifo.

"Ndugu zangu Kifo ni jambo la Uhakika, hivyo tunapaswa kuhakikisha tunajiandaa Kwa kutenda matendo mema" Alisema Kilakala

Mbunge wa Morogoro mjini Mheshimiwa Abdullazizi Abood,akitoa salamu za pole amesema Sheikh Bolingo alikuwa mpenda maendeleo hususani Shughuli za kijamii kama Afya na Elimu ambapo ameahidi kutimiza ahadi yake Katika kuikamilisha Ujenzi wa Zahanati ambayo Marehemu Sheikh Bolingo alikuwa ameianzisha.

Marehemu Sheikh Musa Bolingo amezikwa 28 Disemba 2024 Katika msikiti wa Luqman uliopo Kihonda majira ya saa kumi baada ya kuswaliwa ibada iliyoongozwa na Mufti Abubakar Zuberi bin Ally.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.