• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MEI MOS MOROGORO

Imetolewa: May 2nd, 2019

Na Andrew Chimesela – Morogoro

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Kebwe Stephen Kebwe amewataka wafanyakazi katika mashirika ya Umma na binafsi kutekeleza majukumu yao kikamirifu ili kuinua uchumi wa Mkoa badala ya kuendeleza porojo na mambo yasiyohusiana na kazi pindi wawapo kazini.

Dkt. Kebwe ameyasema hayo leo Mei Mosi akitoa hotuba yake kwa wafanyakazi ambao wako kwenye vyama mbalimbali vya wafanyakazi ikiwa ni maadhimisho ya siku ya wafanyakazi duniani iliyofanyika kimkoa katika uwanja wa Jamhuri Mjini Morogoro Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro.

Amesema wafanyakazi wanapaswa kuwajibika kikamilifu kwani kufanya hivyo kutasaidia kuongeza pato la Mkoa na Taifa kwa jumla na hivyo kuwa rahisi kwa Serikali kufanya tathmini ya namna ya kuongeza kiwango cha mishahara kwa watumishi.

“Serikali haiwezi kuongeza mishahara kama hatutafanya kazi kwa tija ili kuongeza pato la Taifa kufanya hivyo ndio kutapelekea kupandisha kiwango cha mishahara kwa watumishi”. Alisema Dkt. Kebwe

Aidha, Mkuu huyo wa Mkoa amewataka waajiri wa Sekta binafsi na mashirika mbalimbali ya umma kutoa michango ya wafanyakazi wao kwenye mifuko Pension kwa wakati pamoja na kuzingatia kiwango cha thamani ya pato linalozalishwa kulingana na viwango vilinavyokubalika na Serikali..


Awali akitambulisha wageni waliofika katika sherehe hiyo, Katibu Tawala wa Mkoa wa Morogoro  Cliford Tandari amewataka wafanyakazi kuelewa kuwa haki na wajibu ni mambo yanayokwenda pamoja hivyo amewataka kutimiza wajibu wao kwanza ndipo wadai haki zao.

Kwa upande wake mwenyekiti wa vyama vya wafanyakazi Mkoa wa Morogoro (TUCTA) Mohammed Simbeye amemuomba Mkuu wa Mkoa kufuatilia kwa karibu mashirika yenye nia ya kuchafua jina la Mkoa  huo kwa kuzuia haki za wafanyakazi ikiwemo kuanzisha vyama vyao wakiwa katika maeneo yao ya kazi.

Kupitia Risala iliyosomwa kwa  Mgeni rasmi, wafanyakazi Mkoani humo wamemuomba Mkuu wa Mkoa kusaidia kuwasukuma waajiri katika Mashirika mbalimbali yaliyoko Mkoani Morogoro ili wasajiri wafanyakazi wao katika mifuko ya bima ya Afya bila kujali kipato anachopata mfanyakazi husika.

Sherehe ya siku ya wafanyakazi hufanyika kila ifikapo Mei Mosi ya kila mwaka ikiwa na lengo la kutathmini mwenendo na hali za wafanyakazi ikiwa sambamba na kusikiliza na kutatua kero mbalimbali za wafanyakazi ambapo kauli mbiu ya mwaka huu ni “Tanzania ya Uchumi wa Kati inawezekana, Wakati wa Mshahara na Maslshi Bora kwa Wafanyakazi ni SASA”.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC August 30, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • UZINDUZI WA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

    September 04, 2025
  • "KAHAMASISHENI WANANCHI KUPIGA KURA" Dkt Batilda Burhani

    August 29, 2025
  • RIADHA SHIMISEMITA 2025 MORO DC YATOLEWA HATUA YA FAINALI

    August 26, 2025
  • "TUMIENI FURSA YA KAMBI ZA AFYA ZINAZOLETWA NA SERIKALI NA WADAU KUPATA MATIBABU" SANGA

    August 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.