• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MH. KILAKALA AONGOZA MATEMBEZI KUHAMASISHA WANANCHI KUPIGA KURA

Imetolewa: November 17th, 2024

Mkuu wa Wilaya Mh. Musa Kilakala  ameongoza matembezi  ya kuhamasisha wananchi wa  Halmashauri ya  wilaya ya Morogoro kushiriki Uchaguzi  wa Serikali za Mitaa unaotarajiwa kufanyika  tarehe 27 Novemba 2024.

Matembezi hayo yamefanyika  katika uwanja wa Njia nne uliopo  kata ya Ngerengere, yenye urefu wa kilomita tano   (5km) kuanzia saa 12:45 asubuhi mpaka saa 1:45 asubuhi. Matembezi hayo  yamehitimishwa  na hotuba iliyolenga kuhamasisha wananchi kujitokeza Katika zoezi la kupiga kura kuchagua Viongozi wa Serikali za Mitaa wanaowataka Ili kuwaletea maendeleo na kuwajibika katika vijiji na vitongoji  vyao.

" Hongereni sana wanangerenge na wote mliojitokeza Katika matembezi haya, niwaombe  kila mwenye miaka 18 na kuendelea na amejiandikisha kwenye daftari la Mpiga kura   ahakikishe anajitokeza kwenda kupiga kura kwa wingi kama mliojitokeza Leo kwenye matembezi haya". Amesema Mhe. Kilakala.

Vilevile, matembezi hayo yalihudhuriwa pia na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya  Mhe. Lucas Lemomo  ambaye aliwataka wananchi  kujitokeza kupiga kura  ifikapo  tarehe 27-11-2024 kwani hutokea kila  baada ya miaka mitano hivyo ni muhimu kufanya maamuzi na  kuchagua viongozi watakaowaletea  maendeleo .


Aidha,  matembezi haya yameambatana na zoezi la uchangiaji wa damu  salama lililotatibiwa na  hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro. (MDH).

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2018. September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

    June 20, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.