• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKURUGENZI AFANYA KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI.

Imetolewa: June 1st, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Bi. Rehema S. Bwasi amewaagiza walimu wakuu na wakuu wa shule wanaosimamia miradi ya vyumba vya madarasa na maabala katika shule zao na Watendaji wa Vijiji vyenye miradi ya Zahanati kumaliza ujenzi hadi kufikia Mei 15, 2021 na atakaekuwa hajamaliza atachukuliwa hatua.

Bi. Rehema S. Bwasi ameyazungumza hayo jana Juni 1, 2021 katika Kikao Kazi cha ukamilishaji wa Miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashari ya Wilaya ya Morogoro ambapo jumla ya madarasa 20, maabala 12 na Zahanati 7 zinaendelea kujengwa.

Katika hatua nyingine Mkurugenzi amewataka wasimamizi hao kutoleta ujanja ujanja na upigaji kwenye manunuzi huku akisisitiza matumizi mazuri ya fedha hizo ili miradi ikamilike, "Nimeshawarudisha sio watatu au wanne waliokuja na bei zao za ajabu na baada ya kuwarudisha wakawa wameokoa zaidi ya milioni sita, narudia tena ukija na bei zako za ajabu nitakurudisha."

Walimu wakuu hao, wakuu wa shule na Maafisa Watendaji wa Vijiji wametakiwa kufanya kazi usiku na mcchana na kutakiwa kumaliza kazi hadi kufikia Mei 15, 2021.


#morodcmpya

#Kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE MAFUNZO YA KAZI YA MUDA SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 HALMASHAURI YA MOROGORO July 27, 2022
  • ORODHA YA MAJINA YA WANAOITWA KWENYE USAILI SENSA YA WATU NA MAKAZI 2022 July 16, 2022
  • 22/07/2022 TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI July 22, 2022
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • WAH: MADIWANI HALMASHAURI YA MOROGORO WATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA MOROGORO

    August 08, 2022
  • WAH: MADIWANI HALMASHAURI YA MOROGORO WATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA MOROGORO

    August 08, 2022
  • WAH: MADIWANI HALMASHAURI YA MOROGORO WATEMBELEA BANDA LA HALMASHAURI YA MOROGORO

    August 08, 2022
  • MOROGORO DC KUTUMIA MILIONI 30 KUANZISHA UHIFADHI MISITU

    May 20, 2022
  • Angalia zote

Video

Uunganishaji wa mimea
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, Mvuha - Magogoni Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.