• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

MKURUGENZI AFANYA KIKAO KAZI CHA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA HALMASHAURI.

Imetolewa: June 1st, 2021

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Bi. Rehema S. Bwasi amewaagiza walimu wakuu na wakuu wa shule wanaosimamia miradi ya vyumba vya madarasa na maabala katika shule zao na Watendaji wa Vijiji vyenye miradi ya Zahanati kumaliza ujenzi hadi kufikia Mei 15, 2021 na atakaekuwa hajamaliza atachukuliwa hatua.

Bi. Rehema S. Bwasi ameyazungumza hayo jana Juni 1, 2021 katika Kikao Kazi cha ukamilishaji wa Miradi ya maendeleo inayoendelea kutekelezwa katika Halmashari ya Wilaya ya Morogoro ambapo jumla ya madarasa 20, maabala 12 na Zahanati 7 zinaendelea kujengwa.

Katika hatua nyingine Mkurugenzi amewataka wasimamizi hao kutoleta ujanja ujanja na upigaji kwenye manunuzi huku akisisitiza matumizi mazuri ya fedha hizo ili miradi ikamilike, "Nimeshawarudisha sio watatu au wanne waliokuja na bei zao za ajabu na baada ya kuwarudisha wakawa wameokoa zaidi ya milioni sita, narudia tena ukija na bei zako za ajabu nitakurudisha."

Walimu wakuu hao, wakuu wa shule na Maafisa Watendaji wa Vijiji wametakiwa kufanya kazi usiku na mcchana na kutakiwa kumaliza kazi hadi kufikia Mei 15, 2021.


#morodcmpya

#Kaziiendelee

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC August 30, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • "KAHAMASISHENI WANANCHI KUPIGA KURA" Dkt Batilda Burhani

    August 29, 2025
  • RIADHA SHIMISEMITA 2025 MORO DC YATOLEWA HATUA YA FAINALI

    August 26, 2025
  • "TUMIENI FURSA YA KAMBI ZA AFYA ZINAZOLETWA NA SERIKALI NA WADAU KUPATA MATIBABU" SANGA

    August 20, 2025
  • SHIMISEMITA 2025 JIJINI TANGA YAFANA

    August 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.