• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro amewataka wananchi nkujitokeza Kujiandikisha

Imetolewa: October 12th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Mh Loata Sanare amewataka wananchi wenye sifa wa mkoa wa Morogoro kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la kudumu la wapiga kura ili wapate fursa ya kuchagua viongozi wao katika uchaguzi wa Serikali za mitaa, unaotarajiwa kufanyika tarehe 24/11/2019.

Mhe. Sanare ametoa wito huo Oktoba 9 mwaka huu wakati akiongea na waandishi wa habari Ofisini kwake ikiwa ni siku moja tangu kuanza rasmi kwa zoezi hilo la uandikishaji wapiga kura.

Amesema zipo sababu nyingi zinazopelekea Serikali kuweka zoezi hilo ikiwemo kutoa fursa kwa wananchi waliotimiza Umri wa kupiga kura, waliohama miji au mitaa ya awali na waliopoteza vitambulisho vyao lengo likiwa ni kupata idadi kamili ya wakazi wenye sifa ya kupiga kura katika eneo husika.

“kuna mambo mengi yamepita hapa katikati, wapo watu wamehama mitaa na wengine wamefariki, hivyo ndio maana Serikali imeweka fursa hii ya kujiandikisha upya. Kwa hiyo wito wangu ni wananchi wajitokeze kwa wingi kujiandikisha ili Serikali iwe na uhakika wa idadi ya wapiga kura waliopo katika vituo husika”, Alisema Sanare.

Katika hatua nyingine Mhe. Sanare amewataka wasimamizi wa uchaguzi huo wa Serikali za Mitaa kutenda haki katika utekelezaji wao bila kumuonea mtu ili wapatikane viongozi waliochaguliwa na wananchi kihalali.

Akitoa raia hiyo amewataka wananchi nao watambue kuwa kura moja ya mwananchi ina uwezo wa kubadili matokeo ya uchaguzi mzima, na kumpata kiongozi wamtakaye au wasiyemtaka. Hivyo ni vema kila mwananchi ajiandikishe kwa ajili ya kuja kupiga kura.

Aidha Mkuu huyo wa Mkoa amesema jumla ya watu 1,423,111 wanatarajiwa kujiandikisha Mkoani Morogoro kupitia zoezi hilo ambapo katika siku ya kwanza ya zoezi wakazi 203,553 sawa na asilimia 14.30 walijiandikisha katika vituo mbalimbali.

Zoezi la kupiga kura kuchagua viongozi wa Serikali za mitaa mwaka huu, ambapo mitaa 327, vijiji 671 na vitongoji 3380 vinatarajia kushiriki uchaguzi kwa kuchagua wenyeviti wao,wajumbe wa kamati na wajumbe wa kamati maalumu wanawake.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC August 30, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • "KAHAMASISHENI WANANCHI KUPIGA KURA" Dkt Batilda Burhani

    August 29, 2025
  • RIADHA SHIMISEMITA 2025 MORO DC YATOLEWA HATUA YA FAINALI

    August 26, 2025
  • "TUMIENI FURSA YA KAMBI ZA AFYA ZINAZOLETWA NA SERIKALI NA WADAU KUPATA MATIBABU" SANGA

    August 20, 2025
  • SHIMISEMITA 2025 JIJINI TANGA YAFANA

    August 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.