• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

KIMELO FC WAIBUKA MSHINDI MVUHA TOUNERMENT CUP 2024

Imetolewa: October 5th, 2024

Mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM-mkoa Mh. Hamza Mfaume   leo  October 5, 2014, amekabidhi zawadi kwa washindi wa Mvuha Tounerment Cup 2024  katika fainali za mashindano  yaliyofanyika uwanja wa shule ya msingi Mvuha katika  halmashauri ya wilaya ya Morogoro.

Katika mashindano hayo

timu mbili mahasimu Kimelo FC  na Kongwa FC wamechuana vikali ambapo  Kimelo FC wameibuka mshindi kwa goli 3 kwa 2 dhidi ya Kongwa FC.

Akikabidhi zawadi hizo kwa washindi amewashukuru kwa kumaliza bila vurugu zozote na kuwasisistiza waendeleze nidhamu walioonyesha katika ligi zijazo pia.

 Mh. Mfaume Amewasisitiza vijana na wananchi wote  wenye umri wa miaka 18 na kuendelea walioshuhudia mtanange huo, "Niwaombe kwa wingi huu kujitokeza  kujiorodhesha katika daftari la mpiga kura zoezi linalotarajiwa kuanza tarehe 11 Oktoba mpka tarehe 20 Oktoba 2024 ili kupata sifa ya kushiri uchaguzi wa serikali za mitaa 2024 unaotarajiwa kufanyika  tarehe 27 Novemba 2024."

Kimelo  FC wame jipatia zawadi nono ikiwa ni  fedha taslimu shilingi 500,000 na vifaa vya michezo ikiwa ni mpira na seti ya jazzy huku mshindi wa pili Kongwa Fc wakijipatia fedha taslimu shilingi 500,000 ambapo wamekabidhiwa na mgeni rasmi Mh. Hamza Mfaume.

Ligi hii iliyoanza tarehe 11 Septemba 2024  imemalizika kwa amani ambapo jumla ya timu 8 zilishiriki  chini ya uratibu wa Alice sports wear na  Hanga investment  na kutoa fursa ya  kutangazwa kwa msimu mpya wa ligi ya  MKURUGENZI CUP.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • ORODHA YA WANAFUNZI WA KUJIUNGA NA KIDATO CHA TANO AWAMU YA PILI 2018. September 07, 2018
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • SHILINGI MILIONI 538 NA LAKI NNE KUNUFAISHA VIKUNDI VYA WANAWAKE, VIJANA NA WALEMAVU

    June 20, 2025
  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.