• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

RIADHA SHIMISEMITA 2025 MORO DC YATOLEWA HATUA YA FAINALI

Imetolewa: August 26th, 2025

HAKIKA TUMEPAMBANA TUMETOLEWA HATUA YA FAINALI
‎‎Timu ya Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Riadha mbio za Kupokezana vijiti mita 400 ,na Riadha mita 200 Wanaume zimepambana na Kutolewa katika hatua ya Fainali.‎
‎Akizungumza na Wanariadha wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Afisa Kiongozi  Michezo Sanaa na Utamaduni Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Ndg Anania Sama amewapongeza hatua waliofikia huku akiwataka wasikate tamaa  kwani kufika Fainali Katika Halmashauri 150 zilizoshiriki ni jambo la kujivunia.
‎‎"Vijana wangu mmepambana lakini Katika mashindano yeyoye ni lazima Mshindi apatikane haikua bahati yetu, lakini kitendo Cha kufika hatua ya Fainali Katika Riadha iliyoshirikisha takribani Halmashauri 150 ni jambo la kujivunia" amesema Sama.‎
‎Katika Mashindano ya SHIMISEMITA yanayoendelea Jijini Tanga Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro imeshiriki Katika Michezo ya Karata na Bao ambapo washiriki wametolewa hatua ya 16 Bora, Mchezo wa Vishale wametolewa hatua ya Nusu fainali. Kutupa Tufe Wanawake nafasi ya 7 kati ya 12 walioshiriki.
‎‎Mashindano yanayotarajiwa kufika tamati 29-08-2025 yalianza Rasmi Tarehe 15 August 2025 Katika Viwanja Mbalimbali Jijini Tanga huku yakibeba Kauli mbiu ya
‎"Jitokeze kupiga kura Kwa Maendeleo ya Michezo"

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC August 30, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • JARIDA MAFANIKIO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

    October 09, 2025
  • IUCN YATAMBULISHA MRADI WA RESOLVE (NbS) HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

    October 03, 2025
  • ‎SIKU YA WAZEE MKOANI MOROGORO YAADHIMISHWA, WAZEE WAPEWA HUDUMA ZA AFYA BURE.

    September 10, 2025
  • UZINDUZI WA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

    September 04, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.