• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

TIMU YA WAKUU WA IDARA YATEMBELEA UJENZI WA WODI KATIKA HOSPITALI YA WILAYA.

Imetolewa: May 25th, 2021

Wakuu wa idara wakiongozwa na Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Bi. Rehema S. Bwasi leo Aprili 25 wamekagua miradi ya ujenzi wa Wodi tatu za wanawake, watoto na wanaume zinazojengwa katika Hospitali yetu ya Wilaya pamoja na jengo la Utawala la Halmashauri.

Ukaguzi huo uliolengo kupata kujua maendeleo ya mradi na kujua changamoto wanazokabiliana nazo mafundi katika utekelezaji wa miradi hiyo ya Wodi hizo tatu lakini pia jengo la Utawala la Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro.

Katika hatua nyingine wakuu hao wa Idara wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri wamepata wasaa wa kupokea changamoto hizo zinazowakabili mafundi na kutafuta ufumbuzi ili kazi iendelee na miradi iweze kukamilika kwa muda uliopangwa.

Ukaguzi huu unatokana na kikao cha timu ya wataalamu wa Halmashauri inayoongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri kilichoketi tarehe 24/5/2921 ambapo Mkurugenzi alitoa maelekezo kwa wakuu wa idara kutembelea miradi hiyo kwa zamu kila siku na kutoa taarifa ya maendeleo ya ujenzi wa miradi hiyo.

Aidha timu hii imetoa pia ushauri wa kihandisi pale walipoona inafaa na mafundi wamepokea ushauri kwa ajili ya utekelezaji na huu utakuwa ni utaratibu wa mara kwa mara ili kuwatia moyo mafundi na kutatua changamoto ndogondogo zinazowakabili.

#Kaziiendelee


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC August 30, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • "KAHAMASISHENI WANANCHI KUPIGA KURA" Dkt Batilda Burhani

    August 29, 2025
  • RIADHA SHIMISEMITA 2025 MORO DC YATOLEWA HATUA YA FAINALI

    August 26, 2025
  • "TUMIENI FURSA YA KAMBI ZA AFYA ZINAZOLETWA NA SERIKALI NA WADAU KUPATA MATIBABU" SANGA

    August 20, 2025
  • SHIMISEMITA 2025 JIJINI TANGA YAFANA

    August 23, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.