• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

TUTUNZE MAZINGIRA YETU.

Imetolewa: June 5th, 2021

Mkuu wa Wilaya ya Morogoro Mhe. Bakari Msulwa leo Juni 5, 2021 alikuwa Mgeni rasmi katika sherehe ya Siku ya Mazingira Duniani iliyofanyika katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mvuha.

Akizungumza na Wananchi pamoja na wadau waliofika kwenye sherehe hiyo Mhe. Bakari Msulwa amesema, "Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro ni mojawapo ya Halmashauri zinazokabiliwa na changamoto mbalimbali za mazingira ikiwa ni pamoja na uharibifu mkubwa wa vyanzo vya maji ambao unasababishwa na shughuli mbalimbali za kibinaadamu,uchomaji msitu moto,ufugaji usiozingatia utaalamu,uchimbaji wa madini usiozingatia taratibu,ukataji holela wa miti,uvamizi wa maeneo tengwa ikiwa ni pamoja na misitu ya hifadhi."

"Kwa kuzingatia kauli mbiu ya Siku ya Mazingira Duniani ya mwaka huu (2021) ambayo inatutaka wanajamii kuendelea kutumia nishati mbadala kuongoa mifumo ikolojia, kimsingi kauli mbiu hii inalenga kutukumbusha ni vema jamii katika matumizi yake ya kawaida ikajielekeza zaidi kwenye matumizi mbadala ya nishati ili kupunguza mgandamizo kwenye nishati za mazao ya misitu ambazo kwa kiasi kikubwa zinachangia katika uharibifu wa mazingira ikiwemo mkaa pamoja na kuni." Amesema Mhe. Bakari Msulwa.

Aidha Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Bakari Msulwa ameongezea "Tumekuwa tukisisitizwa sana na wataalam wa mazingira kutumia nishati mbadala kwa lengo la kuweka ikolojia yetu katika usawa. Na lengo la kuweka ikolojia kwa maana kila kilichopo kwenye mazingira kinahitajika kitumike kwa ustawi wa jamii bila kuharibiwa. Mfano tukitumia nishati ya gesi katika matumizi ya kawaida au ya viwanda basi tutaiacha misitu katika hali nzuri ambayo itasababisha upatikanaji wa mvua, mazalia mazuri ya wanyama pamoja na madhari nzuri kwa jamii. Hivyo matumizi ya nishati mbadala kwa lengo la kuongoa ikolojia kauli mbiu hii imekuja wakati muafaka haswa wakati serikali imeendelea kusisitiza uanzishwaji wa nishati nyingine ikiwepo umeme yote hii ni kwa ajili ya kuhakikisha ikolojia yetu inabaki katika hali ya ustawi wa jamii zetu."

Katika hatua nyingine Mhe. Bakari Msulwa ameshiriki zoezi la Uzinduzi wa Kampeni ya OKOA, WEKEZA KATIKA MAZINGIRA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO 2021 - 2026.


#kaziiendelee


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • MAAFISA HABARI HAKIKISHENI WANANCHI WANAPATA HABARI SAHIHI: MCHENGERWA

    May 23, 2025
  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.