• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

UZINDUZI WA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

Imetolewa: September 4th, 2025

‎

‎Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro leo Septemba 4,2025 imezindua rasmi zoezi la chanjo na utambuzi wa mifugo, likiwa na lengo la kuboresha afya ya mifugo na kuongeza thamani ya uzalishaji kwa wafugaji. Mgeni rasmi katika uzinduzi huo alikuwa Mkuu wa Wilaya ya Morogoro, Mhe. Musa Kilakala, ambaye ameipongeza Halmashauri kwa kuandaa mpango huo muhimu unaogusa maisha ya wananchi wengi.

‎

‎Katika hotuba yake, Mhe.Kilakala amesema serikali itaendelea kushirikiana na wananchi kuhakikisha mifugo inalindwa dhidi ya magonjwa hatarishi, sambamba na kuimarisha mfumo wa utambuzi ili kudhibiti migogoro ya mifugo.

‎

‎"Wote  tunafahamu tunazo changamoto katika Wilaya yetu ya Morogoro hususani Halmashauri yetu ya Wilaya ya Morogoro, lakini Kwa kupitia jambo hili la utambuzi tunaweza kutatua changamoto hii Kwa kiwango kikubwa"Amesema Mhe.Kilakala

‎

‎Aidha, amewataka wafugaji wote kushiriki kikamilifu katika zoezi hilo  mifugo yao inapatiwa huduma ya chanjo na kusajiliwa kwa mujibu wa utaratibu pia amewataka kuzingatia suala la ulinzi na usalama Kwa kuepuka migogoro kati ya Wafugaji na Wakulima.

‎

‎Kwa upande wake, Mkuu wa Divisheni ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Mhandisi.Magreth Kavaro , amesema Halmashauri imepokea kutoka Serikali kuu chanjo ya homa ya mapafu 130,000. Chanjo ya Sotoka Kwa Mbuzi na Kondoo 150,000. Chanjo ya Kideli,Mafua na Ndui Kwa Mifugo Jamii ya Kuku 150,000 . 

‎Ameongeza Kwa kusema zoezi hilo linatekelezwa kwa kushirikiana na wataalamu wa mifugo wa Halmashauri ya Wilaya, na litasaidia kuweka takwimu sahihi za mifugo, kuimarisha usalama wa chakula na kuongeza mapato ya wananchi.

‎

‎

‎Kwa upande wa Wafugaji waliohudhuria uzinduzi huo  wakiongozwa na Mwenyekiti wa Wafugaji Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro Ndg Kianjo Nyerera wameishukuru serikali kwa hatua hiyo, wakieleza kuwaa itaongeza uelewa na kuimarisha ufugaji wa kisasa unaowasaidia kujikwamua kiuchumi.

Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI June 10, 2025
  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE USAILI MOROGORO DC August 30, 2025
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI May 23, 2022
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • UZINDUZI WA CHANJO NA UTAMBUZI WA MIFUGO HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO

    September 04, 2025
  • "KAHAMASISHENI WANANCHI KUPIGA KURA" Dkt Batilda Burhani

    August 29, 2025
  • RIADHA SHIMISEMITA 2025 MORO DC YATOLEWA HATUA YA FAINALI

    August 26, 2025
  • "TUMIENI FURSA YA KAMBI ZA AFYA ZINAZOLETWA NA SERIKALI NA WADAU KUPATA MATIBABU" SANGA

    August 20, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.