• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kunufaika na maradi wa 'USEMINI'

Imetolewa: December 11th, 2023

 Halmashauri ya wilaya ya Morogoro kunufaika na mradi wa uwezeshaji jamii katika  usismamizi endelevu wa mazao ya misitu na nishati mbadala [USEMINI]. Mradi huu unafadhiliwa na HELVETAS Swiss International kama mshirika kiongozi pamoja na CODERT na MJUMITA wenye jumla ya bajeti ya milioni 2.22Euro.

Haya yameelezwa katika ukumbi wa Halmashauri ya wilaya ya Morogoro {Mvuha} na mkurugenzi wa mradi ndg. Danieni Kalimbiya ambapo amesisitiza,” Mradi utaleta mafanikio chanya  kwa waadau wa mazao ya misitu haswa kwa  wazalishaji, wasambazaji na wauzaji wa mkaa” Ameeleza  lengo kuu la mradi ni kuhamasisha  usimamizi shirikishi na endelevu wa mazao ya  misitu na  uzalishaji wa nishati mbadala.


Aidha mwenyekiti wa halmashauri ya wilaya ya Morogoro Ndg. Lucas Lemomo amewataka wadau wa mradi kuhakikisha wanatumiaa kipindi cha miaka mitatu kukamilisha na kutekeleza mpango kazi wa mkakati wa mradi ili kuleta tija kwa wanufaikaji. “Niwatake wataalamu mbalimbali ndani na nje ya halamashauri hii kufanya kazi kwa ushirikiano, kuongeza nguvu kwenye mpango kazi na kuwa mstari wa mbele kuhakikiksha  mradi huu unatekelezeka ndani ya  muda uliopangwa,” amesisitiza Ndg. Lemomo.

Nae kaimu mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya wilaya ya Morogoro Bw. Edwin Mashala amewashukuru kwa dhati HELVETAS Swiss International, CODERT na MJUMITA kwa kuwa washirika wa mradi na kuwataka wakazi waitumie fursa hii kwa kunufaika na maendeleo ya ustawi wa mazao ya misitu, kulinda na kuepuka madhara ya mmomonyoko wa udongo na kushiriki katika kuendeleza misitu na uzalishaji wa nishati mbadala.



Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.