• Wasiliana nasi |
    • Maswali |
    • Baruapepe |
    • Malalamiko |
Morogoro District Council
Morogoro District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili ya Msingi
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo
    • Idara
      • Afya
      • Maji
      • Utawala na Utumishi
      • Usafi na Mazingira
      • Elimu Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Mipango na Ufuatiliaji
      • Fedha na Biashara
      • Ardhi na Maliasili
      • Kilimo Umwagiliaji na Ushirika
      • Mifugo na Uvuvi
      • Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Vijana
    • Vitengo
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • TEHAMA
      • Ugavi na Manunuzi
      • Uchaguzi
      • Nyuki
  • Utalii
    • Vivutio vya Utalii
      • Msitu wa Pangawe
      • Msitu wa Milawilila
      • Msitu wa Kimboza
      • Maji Moto-Kisaki
      • Kisimbi-Kinole
      • Utalii Matombo
    • Maeneo ya Kihistoria
  • Huduma Zetu
    • Elimu
    • Huduma za Afya
    • Maji
    • Kilimo
    • Ufugaji
    • Uvuvi
    • Huduma za Watumishi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za Kudumu
    • Ratiba ya Vikao
    • Ratiba ya Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi iliyokamilika
    • Miradi itakayotekelezwa
    • Miradi inayotekelezwa
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mpango Mkakati
    • Miongozo
    • Ripoti
    • Majarida Mbalimbali
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba za Viongozi
    • Maktaba ya Picha
    • Video

WAZEE WALILIA UADILIFU KWA VIJANA

Imetolewa: October 1st, 2024

Kauli hiyo imetolewa na wazee katika maadhimisho ya siku ya wazee duniani ambayo huadhimishwa kila ifikapo tarehe moja mwezi wa kumi yaliyofanyika katika ukumbi  wa mikutano wa halmashauri ya wilaya ya  Morogoro. 

Wakizungumza katika mkutano huo wazee wamesema, vijana wakiwa kama nguvu kazi ya taifa wanapaswa kuwa waadilifu na wazalendo kwa serikali na jamii kwa ujumla." Baadhi ya vijana wetu wanatukosea sana, hapo mlipo mmefikishwa kwa neema ya Mungu kupitia sisi wazee wenu, tunapoona mnakengeuka  kwa serikali na jamiii tunaumia sana....." Mwenyekiti  wa wazee Christopher Goliana.

Maadhimisho hayo yamekwenda sambamba na utolewaji wa huduma  ya upimaji wa afya bure kwa wazee na ugawaji wa neti zilizotiwa dawa ya kujikinga na ugonjwa wa malaria.

Sambamba na hayo wazee wamepata fursa mbalimbali ya kupata elimu ya lishe, elimu ya usafi na utunzaji mazingira na  haswa utunzaji wa vyanzo vya maji na elimu juu ya uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27, 2024.

Mwenyekiti  wa  wazee  Christopher Goliana ameishukuru serikali kwa jitihada inazozifanya kwa wazee hususani  kwenye huduma za afya na kuiomba kuendelea kuboresha huduma hizo ili kuondoa changamoto  ndogondogo zinazojitokeza haswa kwenye upatikanaji wa dawa.

Mgeni rasmi ambaye ni diwani wa kata ya Mvuha mh. Mfaume Chanzi amewapongeza wazee kwa kusherehekea siku ya wazee duniani ambapo wao wameitumia kama fursa ya kukutana na kukaa pamoja kujadili mambo  mbalimbali, kupeana elimu na kujadili changamoto  zinazowakabili na kuangalia namna ya  kuzitatua.

Mh.Chanzi amewaomba wazee kutilia mkazo katika malezi kwa vijana, kwa kufanya hivyo kutasaidia kwa kiwango kikubwa kujenga maadili kwa jamii na kuondoa changamoto za  ukiukwaji  wa maadili kwa jamii ikiwa ni pamoja na vitendo vya ukatili.

Kwa upande wa utolewajiwa elimu ya utunzaji wa vyanzo vya maji hususani mto Mvuha. Afisa mazingira  wa halmashauri  ndugu Joseph Ndunguru amesisitiza kuacha uchafuzi wa maji  ya mto Mvuha ili kuepukana na maradhi yanayoletwa na uchafuzi  wa mazingira  katika vyanzo vya maji.

Akitolea ufafanuzi kuhusu utolewaji wa mikopo kwa wazee, Afisa maendeleo  wa halmashauri  wa wilaya ya Morogoro ndg. Florence Mwambene amesema, serikali inaendelea kuboresha utolewaji wa mikopo hiyo ambapo kuanzia sasa mikopo iliyokuwa imesimama imefunguliwa rasmi hivyo wananachi wenye sifa wanaruhusiwa kuanza kufanya taratibu za kupata mikopo.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KAZINI October 15, 2024
  • TANGAZO A UPANGA VYUMBA VYA OFISI NA MAENEO MBALIMBALI YALIYOPO MOROGORO MJINI March 19, 2025
  • TANGAZO LA KAZI YA MSAIDIZI WA KUMBUKUMBU, DEREVA NA MTENDAJI WA KIJIJI July 15, 2024
  • TANGAZO LA RASIMU July 25, 2024
  • Angalia zote

Habari za hivi karibuni

  • KIONGOZI MBIO ZA MWENGE KITAIFA ARIDHISHWA UTEKELEZAJI MIRADI ILIYOPITIWA NA MWENGE WA UHURU 2025

    April 12, 2025
  • MWENGE WA UHURU WAPOKELEEA HALMASHAURI YA WILAYA YA MOROGORO,MAAGIZO YATOLEWA

    April 11, 2025
  • KATIBU TAWALA MKOA WA MOROGORO AENDELEZA KAMPENI YA JISOMESHE NA MKARAFU

    March 14, 2025
  • "BAINISHENI VYANZO VYA MAJI NA MVILINDE" MHE.KASSIM MAJALIWA MAJALIWA

    March 05, 2025
  • Angalia zote

Video

Mfumo wa Mikopo ya 10% Namna ya Kujisajili
Vidio Zaidi

Kurasa za haraka

  • Sheria ya Manunuzi ya umma
  • Sheria ya Ardhi

Tovuti nyingine

  • Salary Slip Self Service
  • Utumishi
  • Ajira
  • Wizara ya Fedha
  • Tovuti ya Taifa
  • Tamisemi

World visitors tracker

world map hits counter

Hesabu ya watembeleaji

free HitCounter

Ramani yake

Wasiliana nasi

    Mvuha Area, 450M- Bigwa-Kisaki Road

    Sanduku la barua: 1880, Morogoro Tanzania

    Simu: +255 23 2935458

    Simu ya Kiganjani:

    Barua pepe: ded@morogorodc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera za faragha
    • Kanusho
    • Ramani

Hakimiliki ©2017 H/W Morogoro. Haki zote zimehifadhiwa.