Imetolewa: June 28th, 2018
Mradi huu upo katika Kijiji cha Mkambarani Kata ya Mkambarani ndani ya Halmashauri ya wilaya ya Morogoro.
Ujenzi wa Mradi huu ulianza mwaka 2014, chini ya Kampuni ya Mihan gas inayojishughulisha na...
Imetolewa: June 26th, 2018
Mradi wa ujenzi wa zahanati uliopo Kijiji cha Lubungo kata ya Mikese umekamilika na kuanza kutoa huduma rasmi
Mradi huu ulianza mwaka 2009 ukiwa chini ya usimamizi wa uongozi wa kijijiji...
Imetolewa: May 30th, 2018
Mkuu wa wilaya ya Morogoro Bi Regina Chonjo jana apokea zawadi mbalimbali kwa vituo vya afya vya Ngerengere na Duthumi. Zawadi hizo zimetolewa ikiwa ni katika mpango wa benki hiyo kurudisha faida kwa ...