Imetolewa: October 2nd, 2018
Tanzania inakadiriwa kuwa itakuwa na wazee asilimia 11 ya watu wote nchini ifikapo mwaka 2050, kwa kuwa idadi ya watu inaongezeka kwa kasi kutokana na kuendelea kuboreka kwa huduma za Afya hapa nchini...
Imetolewa: September 24th, 2018
.
Madiwani wa Halmashauri ya Morogoro wamepatisha hesabu za mwisho za Halmashauri hiyo katika kiao maalum cha baraza la madiwani kilichofanyika tarehe 23/09/2018 katika ukumbi wa Coika Pangaw...
Imetolewa: July 20th, 2018
Mwenge wa uhuru unatarajia kuweka jiwe la msingi katika Mradi wa ujenzi wa Bwalo la chakula shule ya Sekondari Nelson Mandela tarehe 24//7/2018 wakati utakapokuwa katika mbio zake wilayani hapa. Ikiwa...